Elections 2015 Updates Kutoka Arusha: Mkutano wa kumtambulisha mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa na Mkewe, Mama Regina Lowassa wakifanyiwa matambiko na Wazee (Malaigwanani) ya Kimasai, wakati wa Mkutano wa kutafuta wadhamini wa Tume ya Uchaguzi pamoja na kutambulishwa kwa wananchi, uliofanyika Agosti 15, 2015, kwenye Uwanja wa Kimandolu, Jijini Arusha.
View attachment 276969


Hapa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa akipokea rungu kutoka kwa Mzee Nyinyajwangwa Laiza, mara baada ya Ibada ya kimila na Wazee (Malaigwanani) ya Kimasai, wakati wa Mkutano wa kutafuta wadhamini wa Tume ya Uchaguzi pamoja na kutambulishwa kwa wananchi, uliofanyika Agosti 15, 2015, kwenye Uwanja wa Kimandolu, Jijini Arusha.
View attachment 276971


Lowassa ni mwiba kwa kila mwana CCM
 
images


images


2293323_orig.jpg


2Q==
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa na Mkewe, Mama Regina Lowassa wakifanyiwa matambiko na Wazee (Malaigwanani) ya Kimasai, wakati wa Mkutano wa kutafuta wadhamini wa Tume ya Uchaguzi pamoja na kutambulishwa kwa wananchi, uliofanyika Agosti 15, 2015, kwenye Uwanja wa Kimandolu, Jijini Arusha.
View attachment 276969


Hapa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa akipokea rungu kutoka kwa Mzee Nyinyajwangwa Laiza, mara baada ya Ibada ya kimila na Wazee (Malaigwanani) ya Kimasai, wakati wa Mkutano wa kutafuta wadhamini wa Tume ya Uchaguzi pamoja na kutambulishwa kwa wananchi, uliofanyika Agosti 15, 2015, kwenye Uwanja wa Kimandolu, Jijini Arusha.
View attachment 276971


Tofauti ya hiyo ya Lowassa na hii chini ya JK ni nini?

2293323_orig.jpg
 
Wamasai hawana matambiko,bali huo ni utaratibu wa kumpa cheo kikubwa cha kijamii juu ya laigwnani wote wa tanzania.
[font=&quot]mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania wa ukawa kupitia chama cha demokrasia na maendeleo, mh. Edward lowassa na mkewe, mama regina lowassa wakifanyiwa matambiko na wazee (malaigwanani) ya kimasai, wakati wa mkutano wa kutafuta wadhamini wa tume ya uchaguzi pamoja na kutambulishwa kwa wananchi, uliofanyika agosti 15, 2015, kwenye uwanja wa kimandolu, jijini arusha.
View attachment 276969

[/font]
[font=&quot][/font]
[font=&quot]hapa mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania wa ukawa kupitia chama cha demokrasia na maendeleo, mh. Edward lowassa akipokea rungu kutoka kwa mzee nyinyajwangwa laiza, mara baada ya ibada ya kimila na wazee (malaigwanani) ya kimasai, wakati wa mkutano wa kutafuta wadhamini wa tume ya uchaguzi pamoja na kutambulishwa kwa wananchi, uliofanyika agosti 15, 2015, kwenye uwanja wa kimandolu, jijini arusha.
View attachment 276971
[/font]

 
Ataishia kukodisha magari kubeba watumwa wake kutoka mkoa mmoja kwenda kujaza mkoa mwingine kuonyesha anapendwa!

Ataishia kusikia ikulu tu! Mwezi wa kumi si mbali msikimbie kuweka uzi wenu humu mara tu rais mtarajiwa atakapotangazwa mshindi kuingia ikulu

najua hamtakosa sababu maana mtasema kaibiwa kura! Kama unapresha ya kupanda au kushuka siku hiyo mwandae daktari wako awe jirani na drip pembeni

Umechanganyikiwa mpaka umeamua kugoma kufikiri.

Hivi.kakodisha magari mangapi kwa shilingi ngapi ili ajaze watu wote hapo!!!???????
 
Chadema na viongoz wake napinga maneno yenu ya kejeli na matusi kwa Rais wa jamuhur ya muungano wa Tz na Rais wa mapinduz Zanzibar. Huna chakusema ktk sera zako kaa kimya ikumbukwe wao ni viongoz na kama kunajambo walienda kinyume na taratibu jamuhuri yenyewe itaamua sawa sawa na sheria zetu. Tuwaache viongoz hawa wamalize kwa amani maana watabaki kuwa viongoz nakulindwa mpaka mauti usijesema ukujuwa. Asante
 
Kejeli ni jadi ya siasa ya Tanzania. Ukiwa upande wa kukejeli inafurahisha sana ila ukiwa upande wa kukejeliwa huuma sana.

Ila ikiweza kubadilika itakuwa poa sana. Tukiweza kulist statements za kejeli from both sides itasaidia. Mradi uwe fair.
 
Ukitaka Rais asisemwe majukwaani mwambie naye akiwa ikulu kwenye ofisi ya umma inayobeba nembo ya utaifa wa watanzania wote asifanye vitendo vya kibaguzi vya kumpigia kampeni mgombea wa chama chake. Kama anayafanya kama m/kiti wa chama chake basi na wapinzani watamsema kama Rais wa chama chake
 
Chadema na viongoz wake napinga maneno yenu ya kejeli na matusi kwa Rais wa jamuhur ya muungano wa Tz na Rais wa mapinduz Zanzibar. Huna chakusema ktk sera zako kaa kimya ikumbukwe wao ni viongoz na kama kunajambo walienda kinyume na taratibu jamuhuri yenyewe itaamua sawa sawa na sheria zetu. Tuwaache viongoz hawa wamalize kwa amani maana watabaki kuwa viongoz nakulindwa mpaka mauti usijesema ukujuwa. Asante

Ametuita wapinzania MABUA,sasa nenda kamwambie nyumba yake inaungua moto,kosa ni yale mabua matano aliyowasha mwanae akichoma Mchwa,halafu mwambia Nape Oil Chafu ni dawa ya Mchwa....

Akitaka kuheshimiwa aheshimu wenzake.............
 
Chadema na viongoz wake napinga maneno yenu ya kejeli na matusi kwa Rais wa jamuhur ya muungano wa Tz na Rais wa mapinduz Zanzibar. Huna chakusema ktk sera zako kaa kimya ikumbukwe wao ni viongoz na kama kunajambo walienda kinyume na taratibu jamuhuri yenyewe itaamua sawa sawa na sheria zetu. Tuwaache viongoz hawa wamalize kwa amani maana watabaki kuwa viongoz nakulindwa mpaka mauti usijesema ukujuwa. Asante

Chadomo hawana sera kabisa, sera yao ni maji taka.
 
Ukitaka Rais asisemwe majukwaani mwambie naye akiwa ikulu kwenye ofisi ya umma inayobeba nembo ya utaifa wa watanzania wote asifanye vitendo vya kibaguzi vya kumpigia kampeni mgombea wa chama chake. Kama anayafanya kama m/kiti wa chama chake basi na wapinzani watamsema kama Rais wa chama chake

Endelezeni ushindani wenu eti kisa kafanya acha na mie nifanye ...usije pasuka msamba
 
Back
Top Bottom