Picha kwa sana mkuu na yanayo jiri maana tv zimeisha nunuliwa... JF ndo kila kitu...
Jopo la Wanahabari wa Chadema ndio tumeingia mda huu Arusha Tutariport moja kwa moja tukio hili
nimekupata watu wa chini ccm wanaitwa wajinga? Uzuri ni kuwa kura zao zinatambulika.
Nmeona magari ya washawasha sasa cjui ni vita au Kuna kingne.....
Siku yaleo siyo ya kawaida nchi itasimama...
mkuu iyo avater ndo mfasim musolin mwenyewe?
Jopo la Wanahabari wa Chadema ndio tumeingia mda huu Arusha Tutariport moja kwa moja tukio hili
Boss unaonaje ukaweka namba ya WhatsApp kwenye post yako namba 1 ili watu wakawa wanakutumia picha unazipandisha hapo... Naamini mtu mmoja hutaweza kupata picha zote mwenyewe...
Asifanye kampeni kabla ya muda tusije tukamkata
mungu wenu cdm mnamjua wenyewe..kama sio wa mbege na hela sijui atakua wa nini!Tulianza na Mungu, Tutamaliza na Mungu. Ukawa Magogoni jioni ya Oktoba 25