Kaka ivi balaa unaiona wapi. Hizo sehem zote ni sehem ambazo cdm wanakubalika. Unazungumzia Arusha na Kilimanjaro,mbeya mjini na ilemela pia na Dar? Mbona bara mikoa ni mingi sana. Sasa unadhani mwaweza enda magogoni kwa kura za mikoa 5 kaka.
Mie nacho shauri vyama vyoote pigeni promo ila sie wapiga kura tusio wanavyama wenu tutakayo yaamua oct mlizike nayo na mtulie maisha na mishe ziendelee. Sio muanze kutuletea vurugu.
Watafanyia uwanja ganiJopo la Wanahabari wa Chadema ndio tumeingia mda huu Arusha Tutariport moja kwa moja tukio hili
Wanaenda kusikia MAMA NTILIE, BODABODA, MACHINGA. ignorants
Mkuu hawa vijana aisee..ile baridi ya pale KIA na vijana wameweka kambi!!?mwaka huu tutashuhudia mengi sana Mungu atupe uzima tu tuonane Oct 25
Tena nina mshauri apite ile njia ya kazini na kwa RPC ili nae aliunge.