PETER FRANCIS
Member
- Jul 28, 2015
- 33
- 3
mkutano unafanyika wapi arusha?
Tulianza na Mungu, Tutamaliza na Mungu. Ukawa Magogoni jioni ya Oktoba 25
hii sasa balaa kweli hakuna kulala
Nyie jopo huwa hatuwasomi mnarepotia wapi? Jana Tuko ndiye katupa report toka Mbeya au naye mko team moja?
Unafanyika TINDIGANI-KIMANDOLU nyuma ya shule ya sekondari Kimandolu au Kijenge juu-Tindigani, Karibuni wote.
Huu uzi lazima utafika page 90 kuendele na comments zitakuwa si chini ya .1500
Mkuu hapa naenda stand ya moshi sasa hivi nichukie basi ya kwenda mwanzaa fastaa ili niwahi hzo shamra shamra mapema sanaa!maccm watajutaa sanaa
Kaka ivi balaa unaiona wapi. Hizo sehem zote ni sehem ambazo cdm wanakubalika. Unazungumzia Arusha na Kilimanjaro,mbeya mjini na ilemela pia na Dar? Mbona bara mikoa ni mingi sana. Sasa unadhani mwaweza enda magogoni kwa kura za mikoa 5 kaka.
Mie nacho shauri vyama vyoote pigeni promo ila sie wapiga kura tusio wanavyama wenu tutakayo yaamua oct mlizike nayo na mtulie maisha na mishe ziendelee. Sio muanze kutuletea vurugu.
Wanaenda kusikia MAMA NTILIE, BODABODA, MACHINGA. ignorants
Baada ya kuolewa na jamaa la ESCROW unawatukana wanawake wenzio ni ignorants sio? Subiri dose yako inaandaliwa mumeo lazima afilisiweWanaenda kusikia MAMA NTILIE, BODABODA, MACHINGA. ignorants
Kaka ivi balaa unaiona wapi. Hizo sehem zote ni sehem ambazo cdm wanakubalika. Unazungumzia Arusha na Kilimanjaro,mbeya mjini na ilemela pia na Dar? Mbona bara mikoa ni mingi sana. Sasa unadhani mwaweza enda magogoni kwa kura za mikoa 5 kaka.
Mie nacho shauri vyama vyoote pigeni promo ila sie wapiga kura tusio wanavyama wenu tutakayo yaamua oct mlizike nayo na mtulie maisha na mishe ziendelee. Sio muanze kutuletea vurugu.