Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,489
- 30,524
Ili iweje ?Inasikitisha sana!!! Wafute vyama vingi tubaki na CCM tu.
Ili iweje ?Inasikitisha sana!!! Wafute vyama vingi tubaki na CCM tu.
Wewee unaongea kama nani? Mjadala ni wa Polisi, wewe unajibu umekua Polisi? Acheni kujipa madaraka hewaHuo utaratibu umeanza lini?
Mnaombewa nini?
Maombi yenu hadi yafanyikie kanisani, sehemu ya ibada?
Siku mkijua mnachokitaka, kwanjia gani, kwa wakati gani na kwakiongozi gani mtakuwa wapinzani sahii lakni sahivi tunawaona kama upepo tu.
uliwai kumuona kavaa kijani kanisani? Leta evidence
Lakini pia yeye alikuwa na nyazifa gani?
Kijana haya unayoyaona yanatokea ninmatokeo ya ujinga na umaskini.
Mkuu jielimishe juu ya dhehebu la katoliki, utaelewa ni nini kilitokea na ni kwa vipi na itakusaidia kujibu yaliyokuchanganya.Kuna wakati mtu unatafakari unashindwa kuelewa kama upinzani wetu ni sifuri kiasi hiki na bado ati una ndoto za kuongoza taifa.
Kwamba siku hizi hata ibadani wanaenda na sare za chama. Na askofu anakiri kupokea "sadaka za wanachadema" na kisha kuwakaribisha chakula! Kwamba ibadani siku hizi kuna watu special wakitoa sadaka na kutambuliwa kwa itikadi zao za vyama na wanakaribishwa hadi lunch na baba askofu. Kesho wengine wakienda kwa makabila yao ni poa tu nadhani, baba askofu awakaribishe lunch.
Ila poa, ili mradi Uhuru wa kisiasa upo, mama anaupiga mwingi sana.
Ungeacha uongozi huo wa kanisa wajisemee siyo kuwalisha maneno huku ukiwa tayari umeegemea upande. Ushabiki wako wa kituo kwa Chadema tunaufahamu. Hatuamini blabla zakoWakuu, nimepata hii updates ila kwa kweli hata kama Polisi wetu wanatumwa basi at least watumie hata akili. Why wanalazimisha kujenga chuki isiyomithilika kwenye jamii?? Was it necessary?
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na baadhi ya Askari Wanyama pori wanaozea gerezani kwa kufanya mauwaji Kanisani. anyways wacha niwape updates
Updates
Makamanda, habari za muda huu. Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo.
Walioko lock up ni Katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, Katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.
Baada ya kumuona OCD asubuhi ya leo, alitwambia kuwa wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa.
Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Kwande.
Askofu Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya Wana Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula.
Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema.
Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani.
Baba askofu katupa msaidizi wake tukaenda naye Kirumba na ameongea na OCD, sasa ocd kageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerlad Joseph. Msaidizi wa Askofu kawasiliana naye na sasa Askofu amemtuma katibu wake Padre Nyanda, tunaendelea kumsubiri hapa kirumba.
Msimamo wetu ni:
1. Wawaachie wote bila masharti ya dhamana.
2. Au baba Askofu akawadhamini waumini wake.
Wanzagi
Wapuuzi kama nyie nashindwa hata kujua niwasaidieje! Huwa naishia kuwa-ignore tuUngeacha uongozi huo wa kanisa wajisemee siyo kuwalisha maneno huku ukiwa tayari umeegemea upande. Ushabiki wako wa kituo kwa Chadema tunaufahamu. Hatuamini blabla zako
Mwenyewe unaona umejipindaaa!!Kuna wakati mtu unatafakari unashindwa kuelewa kama upinzani wetu ni sifuri kiasi hiki na bado ati una ndoto za kuongoza taifa.
Kwamba siku hizi hata ibadani wanaenda na sare za chama. Na askofu anakiri kupokea "sadaka za wanachadema" na kisha kuwakaribisha chakula! Kwamba ibadani siku hizi kuna watu special wakitoa sadaka na kutambuliwa kwa itikadi zao za vyama na wanakaribishwa hadi lunch na baba askofu. Kesho wengine wakienda kwa makabila yao ni poa tu nadhani, baba askofu awakaribishe lunch.
Ila poa, ili mradi Uhuru wa kisiasa upo, mama anaupiga mwingi sana.
Wewe ni mtu hatari sana kwa nchi. Umekuwa na mkakati wa kutaka kuingiza udini dhidi ya Rais Samia. Ni mkakati wa kijinga na umebuma tayari.Ona hawa wapumbavu, Mimi naongea na Polisi sio CCM
Nikishaona wapuuzi kama nyie nikajaribu kukuelimisha Mara mbili na bado huelewi huwa sipotezi muda, nakuweka kwa ignore list tu. Nasubiri usome hii kwanzaWewe ni mtu hatari sana kwa nchi. Umekuwa na mkakati wa kutaka kuingiza udini dhidi ya Rais Samia. Ni mkakati wa kijinga na umebuma tayari.
Huna lolote wewe la kumsaidia mtanzania yeyote. Mwenyewe umeshindwa kujisaidia. Hoja zako ziko so lowWapuuzi kama nyie nashindwa hata kujua niwasaidieje! Huwa naishia kuwa-ignore tu
Ili iweje ?
Wewe mwananchi utanufaika nini wakifanya mambo yao bila bughudha ?CCM wafanye mambo yao bila kubugudhiwa ,inaonekana upinzani unawacheleweshea maendeleo.
Wewe mwananchi utanufaika nini wakifanya mambo yao bila bughudha ?
Hivi mapolisi ya Tanzania huwa yamebebelea nini kwenye vichwa, kuna ubongo kweli?Wakuu, nimepata hii updates ila kwa kweli hata kama Polisi wetu wanatumwa basi at least watumie hata akili. Why wanalazimisha kujenga chuki isiyomithilika kwenye jamii?? Was it necessary?
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na baadhi ya Askari Wanyama pori wanaozea gerezani kwa kufanya mauwaji Kanisani. anyways wacha niwape updates
Updates
Makamanda, habari za muda huu. Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo.
Walioko lock up ni Katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, Katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.
Baada ya kumuona OCD asubuhi ya leo, alitwambia kuwa wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa.
Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Kwande.
Askofu Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya Wana Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula.
Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema.
Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani.
Baba askofu katupa msaidizi wake tukaenda naye Kirumba na ameongea na OCD, sasa ocd kageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerlad Joseph. Msaidizi wa Askofu kawasiliana naye na sasa Askofu amemtuma katibu wake Padre Nyanda, tunaendelea kumsubiri hapa kirumba.
Msimamo wetu ni:
1. Wawaachie wote bila masharti ya dhamana.
2. Au baba Askofu akawadhamini waumini wake.
Wanzagi
CCM wafanya mkutano ndani ya kanisa Tunduma. Ingekuwa ACT/ CUF/ CHADEMA wamefanya kanisani au msikitini ingekuwaje?
8~1~2020. Ndani ya mji wa Tunduma, Katika kanisa la Mch mwakabenga lililo kata ya MAKAMBINI tulikutana viongozi wa chama cha Mapinduzi (ccm) wilaya ya Momba Pamoja na wenyeviti wa mitaa yote 71, watumishi mbali mbali wa serikali wakiongozwa wakiongozwa na Mhe mkuu wa wilaya Ndg. Jumaa Said...www.jamiiforums.com