Updates: Kukamatwa kwa Wanachama wa CHADEMA Kanisani Mwanza

Huo utaratibu umeanza lini?
Mnaombewa nini?
Maombi yenu hadi yafanyikie kanisani, sehemu ya ibada?

Siku mkijua mnachokitaka, kwanjia gani, kwa wakati gani na kwakiongozi gani mtakuwa wapinzani sahii lakni sahivi tunawaona kama upepo tu.
Wewee unaongea kama nani? Mjadala ni wa Polisi, wewe unajibu umekua Polisi? Acheni kujipa madaraka hewa
 
uliwai kumuona kavaa kijani kanisani? Leta evidence
Lakini pia yeye alikuwa na nyazifa gani?

Kijana haya unayoyaona yanatokea ninmatokeo ya ujinga na umaskini.
 
Kuna wakati mtu unatafakari unashindwa kuelewa kama upinzani wetu ni sifuri kiasi hiki na bado ati una ndoto za kuongoza taifa.

Kwamba siku hizi hata ibadani wanaenda na sare za chama. Na askofu anakiri kupokea "sadaka za wanachadema" na kisha kuwakaribisha chakula! Kwamba ibadani siku hizi kuna watu special wakitoa sadaka na kutambuliwa kwa itikadi zao za vyama na wanakaribishwa hadi lunch na baba askofu. Kesho wengine wakienda kwa makabila yao ni poa tu nadhani, baba askofu awakaribishe lunch.

Ila poa, ili mradi Uhuru wa kisiasa upo, mama anaupiga mwingi sana.
Mkuu jielimishe juu ya dhehebu la katoliki, utaelewa ni nini kilitokea na ni kwa vipi na itakusaidia kujibu yaliyokuchanganya.
 
Kama kuna mipango ya kuziondoa kura za wakristo kwa samia.

Afuatilie haya mambo,asichulie poa atakapokuja kugutuka kura za maoni hazimbebi yeye hivyo ccm kumuweka pembeni.

Mama atumie zaidi uwezo wake kulinda staha yake kuliko kutegemea watu.
 
Wakuu, nimepata hii updates ila kwa kweli hata kama Polisi wetu wanatumwa basi at least watumie hata akili. Why wanalazimisha kujenga chuki isiyomithilika kwenye jamii?? Was it necessary?

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na baadhi ya Askari Wanyama pori wanaozea gerezani kwa kufanya mauwaji Kanisani. anyways wacha niwape updates


Updates


Makamanda, habari za muda huu. Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo.

Walioko lock up ni Katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, Katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

Baada ya kumuona OCD asubuhi ya leo, alitwambia kuwa wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa.

Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Kwande.

Askofu Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya Wana Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema.

Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani.

Baba askofu katupa msaidizi wake tukaenda naye Kirumba na ameongea na OCD, sasa ocd kageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerlad Joseph. Msaidizi wa Askofu kawasiliana naye na sasa Askofu amemtuma katibu wake Padre Nyanda, tunaendelea kumsubiri hapa kirumba.

Msimamo wetu ni:
1. Wawaachie wote bila masharti ya dhamana.

2. Au baba Askofu akawadhamini waumini wake.

Wanzagi
Ungeacha uongozi huo wa kanisa wajisemee siyo kuwalisha maneno huku ukiwa tayari umeegemea upande. Ushabiki wako wa kituo kwa Chadema tunaufahamu. Hatuamini blabla zako
 
Ungeacha uongozi huo wa kanisa wajisemee siyo kuwalisha maneno huku ukiwa tayari umeegemea upande. Ushabiki wako wa kituo kwa Chadema tunaufahamu. Hatuamini blabla zako
Wapuuzi kama nyie nashindwa hata kujua niwasaidieje! Huwa naishia kuwa-ignore tu
 
Kuna wakati mtu unatafakari unashindwa kuelewa kama upinzani wetu ni sifuri kiasi hiki na bado ati una ndoto za kuongoza taifa.

Kwamba siku hizi hata ibadani wanaenda na sare za chama. Na askofu anakiri kupokea "sadaka za wanachadema" na kisha kuwakaribisha chakula! Kwamba ibadani siku hizi kuna watu special wakitoa sadaka na kutambuliwa kwa itikadi zao za vyama na wanakaribishwa hadi lunch na baba askofu. Kesho wengine wakienda kwa makabila yao ni poa tu nadhani, baba askofu awakaribishe lunch.

Ila poa, ili mradi Uhuru wa kisiasa upo, mama anaupiga mwingi sana.
Mwenyewe unaona umejipindaaa!!
 
Wewe ni mtu hatari sana kwa nchi. Umekuwa na mkakati wa kutaka kuingiza udini dhidi ya Rais Samia. Ni mkakati wa kijinga na umebuma tayari.
Nikishaona wapuuzi kama nyie nikajaribu kukuelimisha Mara mbili na bado huelewi huwa sipotezi muda, nakuweka kwa ignore list tu. Nasubiri usome hii kwanza

Screenshot_20210816-221021.png
 
Kamata kamata zimekuwa nyingi mno hadi kwenye nyumba za ibada. Taifa linaumwa kweli.Linahitaji maridhiano.
 
Wewe mwananchi utanufaika nini wakifanya mambo yao bila bughudha ?

-kwasasa kodi yangu inatumika vibaya sana ,wapinzani wasipokuwepo,wakiwa ccm tu,kutakuwa hakuna ukamataji wa wapinzani na kuwasafirisha km zaidi ya elfu 1 na kuwalipa per diem askari wanaowasindikiza.

-Kesi za kubumba za uhujumu uchumi zitakuwa hakuna hivyo kesi zitakuwa chache,kutakuwa hakuna haha ya serikali kuajiri majaji wengi na kuwalipa misharara minono,hivyo hivyo kwa magereza multiplier effect ,fedha za kuhudumia wahabusu zitapungua.
 
Wakuu, nimepata hii updates ila kwa kweli hata kama Polisi wetu wanatumwa basi at least watumie hata akili. Why wanalazimisha kujenga chuki isiyomithilika kwenye jamii?? Was it necessary?

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi na baadhi ya Askari Wanyama pori wanaozea gerezani kwa kufanya mauwaji Kanisani. anyways wacha niwape updates


Updates


Makamanda, habari za muda huu. Mpaka sasa hivi tunaendelea kushughulikia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama walipokuwa kwenye misa jana Kawekamo.

Walioko lock up ni Katibu wa kanda ya Victoria, Mwenyekiti wa Ilemela, Katibu wa Nyamagana na wanachama wengine jumla yao ni 20.

Baada ya kumuona OCD asubuhi ya leo, alitwambia kuwa wanatuhumiwa kwa kufanya vurugu kanisani na kwamba alipigiwa simu na viongozi wa kanisa.

Ilibidi tukauone uongozi wa kanisa Katoliki jimbo la Mwanza, tumeonana na msaidizi wa baba Askofu na akatuwezesha kuongea na askofu Mkuu Renatus Kwande.

Askofu Nkwande amesikitishwa sana na uongo wa jeshi la polisi na kuthibitisha kwamba hakukuwa na vurugu yoyote kwenye misa hiyo. Na alipokea matoleo ya Wana Chadema na kusali pamoja nao. Akawakaribisha wale chakula.

Wakati wanakwenda kunawa polisi wakavamia eneo hilo na kuanza kukamata kila aliyekuwa na sare za Chadema.

Awali asubuhi, walikwishakamata wanachama watano akiwemo mama Pambalu ambaye naye alikuwa anaigia kanisani.

Baba askofu katupa msaidizi wake tukaenda naye Kirumba na ameongea na OCD, sasa ocd kageuza kwa si kanisa lilimpigia simu bali ni waumini wawili mmojawapo anaitwa Gerlad Joseph. Msaidizi wa Askofu kawasiliana naye na sasa Askofu amemtuma katibu wake Padre Nyanda, tunaendelea kumsubiri hapa kirumba.

Msimamo wetu ni:
1. Wawaachie wote bila masharti ya dhamana.

2. Au baba Askofu akawadhamini waumini wake.

Wanzagi
Hivi mapolisi ya Tanzania huwa yamebebelea nini kwenye vichwa, kuna ubongo kweli?
 

Hata sikuelewi
Nimekuuliza wapi uliona raisi kavaa kijani kanisani
Unaniletea habari za wajinga,

Ccm wakifanya upumbavu na nyie mnaiga upumbavu huo.

Nacho pinga ni siasa (haijalishi ni chama gani) ndani ya kanisa (bilakujali ni kanisa/zehebu gani).
 
CCM wanajua kuwa hawakubaliki na wananchi. Wamewaweka polisi standby kukamata yeyote anaeleta mwamko kwa wananchi ili wananchi waendelee kuishi kwa hofubili CCM iendelee kuwatawala kiulaini bila bugdha za nchi za nje zinazo wapa hela za misaada ya maendeleo waendelee kuzila bila kelele.
 
Back
Top Bottom