only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Hallo JF,
Naona hotuba inaendelea ya bajeti ya serikali pale bungeni Dodoma, ukweli ni kuwa nimeanza kuona udhaifu wa Waziri wa fedha kwenda na spidi ya kumaliza lile likabrasha lenye kurasa zaidi ya 200 na anaonekana kuchoka kadri muda unavyokwenda. Lakini pia ukweli ni kuwa inaonekana kama bajeti haina vitu vipya sana, ni kama kuna marudio ya vile ambavyo vimewai semwa huko nyuma. Vinginevyo tuendelee kupeana updates, hoja, vihoja na vituko kwenye hii bajeti ya mwaka 2012/2013.
Nawasilisha.
Naona hotuba inaendelea ya bajeti ya serikali pale bungeni Dodoma, ukweli ni kuwa nimeanza kuona udhaifu wa Waziri wa fedha kwenda na spidi ya kumaliza lile likabrasha lenye kurasa zaidi ya 200 na anaonekana kuchoka kadri muda unavyokwenda. Lakini pia ukweli ni kuwa inaonekana kama bajeti haina vitu vipya sana, ni kama kuna marudio ya vile ambavyo vimewai semwa huko nyuma. Vinginevyo tuendelee kupeana updates, hoja, vihoja na vituko kwenye hii bajeti ya mwaka 2012/2013.
Nawasilisha.