Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Bashite mutakoWajifunze siasa safi km za Magufuli la sivyo wataishia lupango.
eti bwege, upinzani bwana
Huyo jamaa naona akiskia jina la meko anapata kifafa cha kuandika uharoKweli siasa safi za kupigana risasi na kupewa sumu mangula
Huyo sio mkakaMhh we kaka jmn ni taasisi?
Upo kila uzi lol
Wajifunze siasa safi km za Magufuli la sivyo wataishia lupango.
SincerelyMakaburu weusi ni wabaya kuliko wale SA
Kufanya vikao ni Siasa mbaya?Wajifunze siasa safi km za Magufuli la sivyo wataishia lupango.
Walifanya siasa mbaya zipi ili tusaidie kuwashauri? Ukaburu ni jambo baya sana, ubaguzi kwa misingi ya itikadi hauwezi kutubakisha salama.Wajifunze siasa safi km za Magufuli la sivyo wataishia lupango.
Kuna mmoja yupo kwenye friji mida hii aliukimbiza Sana upepo kuwatesa warundi, akidhani anaweza ibeba dunia,kafa hata mda wa kuficha pesa nje ajapata.Wajifunze siasa safi km za Magufuli la sivyo wataishia lupango.
Wapinzani au wananchi uoga wao ndio maumivu yaoUjue kuna vitu ukijalibu kuwaza unaona acha tu meko afanye anavyotaka kwasababu hata hawa wapinzani hawana misimamo hata punje na huwa wanatuangusha sana pale tunapowategemea kwa 100% alafu mwisho wa safari unasikia naunga juhudi dah'''unatamani utukane matusi makubwa lakini tu huna budi """ sasa mimi nasema hivi hakuna sijui lissu,zitto,wala mbowe hivyo acheni tu mzee baba awafanye vile anavyotaka kwakuwa wao wenyewe waoga na hawana misimamo.
Kwakumalizia ni hivi kwa huu upinzani tuliokuwa nao sisi hap nchini tusahau wakuja kumtoa meko pale feli.
Wafuasi wa "Yesu" wa Chattle wanasema ndiye Rais pekee anayefanya Siasa safi tangu nchi hii ipate Uhuru.Wajifunze siasa safi km za Magufuli la sivyo wataishia lupango.
Mwenyekiti ampa sumu Makamu Mwenyekiti.Wajifunze siasa safi km za Magufuli la sivyo wataishia lupango.
Kuna watu wanafikiria Tanzania iliota kama uyoga.Wajifunze siasa safi km za Magufuli la sivyo wataishia lupango.