Naona munazitamani siasa chafu!! Endeleeni kuziasisi zitakuja tu,uzuri huku mtaani JKT wamejaa wengi hawana kazi.
Jaribu hata kufanya vurugu ndio utaijua Tanzania
Mhh we kaka jmn ni taasisi?
Upo kila uzi lol
Buku Saba tu,zinakushindisha mitandaoni na kuandika ya hoovyo,mikutano ya ndani mbona wengine wanafanya,mataga mna dhambi Sana nyieWajifunze siasa safi km za Magufuli la sivyo wataishia lupango.
Mhh we kaka jmn ni taasisi?
Upo kila uzi lol
Hayo ndio matumizi mazuri ya dola ili kulinda usalama wa nchi.Hahahahaaaa,ndiyo maana munafanya siasa chafu na vurugu kwa sababu muna Dola. Sawa Bwasheee MATAGA.
Polisi hawajatoa taarifa, inawezekana kuna maneno ya uchochezi hapo.Buku Saba tu,zinakushindisha mitandaoni na kuandika ya hoovyo,mikutano ya ndani mbona wengine wanafanya,mataga mna dhambi Sana nyie
Hayo ndio matumizi mazuri ya dola ili kulinda usalama wa nchi.
Hahahahahaa siasa safi kama za nani??Wajifunze siasa safi km za Magufuli la sivyo wataishia lupango.
Atakuwa ni bot, kama wale watuma matangazo kwenye pages za instagram za akina MillardayoMhh we kaka jmn ni taasisi?
Upo kila uzi lol
Kesi uchwara za kubuni hizi tushazizoea.Kwa mujibu wa Chama cha ACT Wazalendo, Kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe na viongozi wenzake 6 walisafirishwa jana usiku kwa gari la wazi kutoka Kilwa hadi Lindi
Magari ya Chama hicho yalifuata nyuma msafara wa Polisi ili kuhakikisha Usalama wa Viongozi wao ambapo walifanikiwa kufikia Kituo cha Polisi Lindi saa 7 usiku
Aidha, Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Bungara (Bwege), aliyeugua jana ghafla wakiwa Kituo cha #Polisi Kilwa na kukimbizwa Hospitali ya Kilwa Masoko, amefikishwa Lindi na Polisi
Hali ya Bwege imetengemaa leo na yupo kituoni hapo pamoja na Zitto na Viongozi wengine huku Mawakili wa ACT wa Lindi na waliotoka Dar wakiwasili Kituo cha Polisi #Lindi ili kushughulikia dhamana
Pia, soma: Lindi: Zitto Kabwe na Sulemani Bungara (Bwege) wakamatwa na Polisi
Kosa lililopelekea kukamatwa ni nini?
utamaduni upi boss? hao wana CCM ni kina nani? wataje basi!Kosa kubwa ni uoga wa CCM dhidi ya ACT. Juzi niliandika kuwa CCM ilitumia nguvu kubwa kuisambalatisha CHADEMA. Haikuwa na wakati wa kupoteza na chama chenye mbunge mmoja tu- ACT. Hivyo haikuona tishio toka ACT na hivyo haikuwa na plan wala mbinu ya kukabiliana na ACT.
Leo ACT imewashtukizia pabaya, na bado Pole Pole hajapata mbinu ya kupambana na hiki chama hivyo shughuli zote wameachiwa polisi ambao nao wamepanik.
Uchaguzi mwaka huu si rahisi kama watu wanavyofikiria. Ni mabavu tu yatayomuhakikishia ushindi mgombea wa CCM (staji jina kwani sijuin kama atakuwa Magu au Membe au mwingine). Kwa sababu mara hii wna CCM wamedhamiria kuvunja utamaduni na kufuata katiba ya CCM.
utamaduni upi boss? hao wana CCM ni kina nani? wataje basi!
Dictator JPMWajifunze siasa safi km za Magufuli la sivyo wataishia lupango.