Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,026
Nipo kwenye basi la SAIBABA safarini Arusha.
jambo la kusikitisha ni kwamba handkerchief za abiria wengi zimegeuka water seal kutokana na gari kuvuja maji ndani.
maji yamesababishwa na mvua inayoendelea.
mtu unakamua handkerchief mara tano!
very absurd.
my take; jamani hili sio gari la kupanda kwani ni sanaa kuanzia mwanzo hadi mwisho.
jambo la kusikitisha ni kwamba handkerchief za abiria wengi zimegeuka water seal kutokana na gari kuvuja maji ndani.
maji yamesababishwa na mvua inayoendelea.
mtu unakamua handkerchief mara tano!
very absurd.
my take; jamani hili sio gari la kupanda kwani ni sanaa kuanzia mwanzo hadi mwisho.