kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Nmekuona mzee umebeba pichaDuuh si Atachoka sana
Nmekuona mzee umebeba pichaDuuh si Atachoka sana
Mi nna wasi wasi badoBro huyu hafufuki hata iweje.... Hata wakimzika mwakani
Walivyomuua ben saanane ndugu yangu kabisa undhani nilipata mchungu kiasi gani??Umefikia kiwango kibaya kabisa cha chuki.Chuki humla yeye aliyeibeba, bali wema humneemesha yeye aliyeibeba.
Mimi sikutaka afe. Nilitaka hiyo stroke aliyopata abakie anahema, anakaa kitandani kila kitu yaani haja kubwa na ndogo anaachia hapo hapo mpaka mwaka 2025 ili aone faida ya zile kura za u-Rais alizoiba October 25, 2020.Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli atazikwa nyumbani kwao Chato Machi 26, tofauti na tarehe iliyotajwa awali ambayo ilikuwa Machi 25.
Mwili wa Rais Magufuli utaagwa na wananchi wa Dar, Machi 20 na 21 Uwanja wa Uhuru kabla ya kusafirishwa kwenda Dodoma ambapo utaagwa Machi 22.
Baada ya Dodoma mwili utapelekwa Zanzibar ambao watapata nafasi ya kuaga Machi 23. Kisha utaelekea Mwanza ambapo wataaga Machi 24.
Ukitoka Mwanza, mwili wa Rais Magufuli utapelekwa Chato ambapo utaagwa Machi 25. Kisha Machi 26 itakuwa siku ya Mazishi huko Chato Mkoani Geita.
Mbona haichekeshi!!?mi acha nicheke, hakika JF mna vitukoo
Bro nna uhakika na kazi ya mtoa roho... Hajawahi kufeliMi nna wasi wasi bado
Hutaki pesa zirudi mtaani!!???Hii yote ni njia ya kupiga pesa tu, kitu ambacho marehemu mwenye alikipinga. Waratibu wa safari wanapigia mafundi ujenzi kwenye viwanja vyao waendelee kujenga, maana hapa mpunga mrefu unapigwa. Sitostaajabu bajeti ya mazishi ya raisi kuja kusemwa imetumika trilioni kadhaa.
Dar kwenda ZNZ ni karibu zaidi, kwanini wasimpeleke Zanzibar halafu ndio Dodoma. Lakini wao wanamzungusha mpaka Dodoma halafu wanamrudisha nyuma tena kwenda Zanzibar.
Kama marehemu angeweza jisemea angeamuru azikwe hata leo.
Sisi wa Nyasa, Mtwara, Tunduru, Mbeya mbona hatupendwi.Wanamsumbua hayati. Zanzibar wangekuja kujumuika Dar na Mwanza wangekuja Chato.
Mapumziko yameondolewaMapunguziko nayo yamebadilika na kuwa tarehe 26 anayozikwa?
Mabadiliko yamekuwa mengi sana.
tatizo wachoyo. Wanataka kula wenyewe tu. Hata mafundi wanatumia hao hao.Hutaki pesa zirudi mtaani!!???
au mafundi wapate chochote
Kwani moshi, Songea, Kigoma sio sehemu ya Tz?Zanzibar pia ni sehemu ya JMT, fair decision.
Ni kweli kabisa, watu wa Mbeya, Katavi nk nao wakimtaka atapelekwa?Zanzibar pia ni sehemu ya JMT, fair decision.
Mimi ni Baba yakoUnawashwa anal nikutaftie bwana???
Ma.vi kabisa wewe, unanipangia cha kucheka humu? Who are you??
Umakini huko kunakohusika inaonekana haupo.Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli atazikwa nyumbani kwao Chato Machi 26, tofauti na tarehe iliyotajwa awali ambayo ilikuwa Machi 25.
Mwili wa Rais Magufuli utaagwa na wananchi wa Dar, Machi 20 na 21 Uwanja wa Uhuru kabla ya kusafirishwa kwenda Dodoma ambapo utaagwa Machi 22.
Baada ya Dodoma mwili utapelekwa Zanzibar ambao watapata nafasi ya kuaga Machi 23. Kisha utaelekea Mwanza ambapo wataaga Machi 24.
Ukitoka Mwanza, mwili wa Rais Magufuli utapelekwa Chato ambapo utaagwa Machi 25. Kisha Machi 26 itakuwa siku ya Mazishi huko Chato Mkoani Geita.