UPDATE Maandalizi ya maziko ya Kardinali Rugambwa kesho

hivi kuna umuhimu wowote kumzika upya? hapo alipokuwa alikuwa hajapumzika kwa amani? napenda kujua tu na sio uchokozi...

aliomba azikwe hapo kanisani kabla hajafariki lakini ujenzi wake ukawa haujaisha wakati anafariki kwa hiyo akawa amezikwa kwa muda kule kashozi na ujenzi ulipoisha ndo anazikwa rasimi kanisani hapo kesho.
 
aliomba azikwe hapo kanisani kabla hajafariki lakini ujenzi wake ukawa haujaisha wakati anafariki kwa hiyo akawa amezikwa kwa muda kule kashozi na ujenzi ulipoisha ndo anazikwa rasimi kanisani hapo kesho.
kwa hiyo kuna namna walifanya mwili usibadilike? i mean kuhifadhi mwili usiharibike?sorry for asking silly questions to His Eminence...
 
Alifariki lini Kardinali Rugambwa.
Ridhiwan bwana, ndio maana Magamba hupitisha miswaada pasipo hata kuisoma. Yaani story yenyewe hata kurasa 2 haifiki umeshindwa kuisoma yote vizuri? Si imeandikwa Kadinali alifariki "8[SUP]th[/SUP] December 1997 at 22.15 hours", au Ki-English ndio kimbembe?
 
Sasa kanisa linachimbwa kaburi ndani au vipi Mkuu, nauliza maana sijawahi kusikia hilo.

Sijawahi enda kanisa lolote nikakuta kaburi ndani yake, vipi hii ni mara ya kwanza jambo kama hilo kutokea Tanzania?

Kwani Papa John wa pili alizikwa wapi au kivipi - maana naona maswali haya hayako straight forward kwani tatizo liko wapi?
 
hahaa haaa, yaani anakwambia utaipata kabla jua halijazama du! Nimependa huo mkwara hadi wewe mwenyewe umetishika. Zamani tukiwa shule kama zinataka kupigwa basi mpambe mmoj anajitokeza kuchora mstari halafu anasema anayeweza avuke na mpambano unaanza. Nadhani nawe Ritz ungemjiu kwa mkwara kwamba ataona kabla asubuhi haijafika.

Kageuka,
Hujue suala ili sio la siasa ni suala la kiimani ndio maana nimekaa kimya kuepusha shari naweza kuwakwanza wengine, lakini kama yangekuwa mambo ya siasa nadhani dogo angekimbia.
 
Last edited by a moderator:
Pope alizikwa wapi? nauliza kwani sio muda mrefu tangu pope afaliki, na nadhani ulikuwa mtu mzima na uliona, au kama hukuwa karibu na luninga, ila alizikwa kanisani

Sasa kanisa linachimbwa kaburi ndani au vipi Mkuu, nauliza maana sijawahi kusikia hilo.

Sijawahi enda kanisa lolote nikakuta kaburi ndani yake, vipi hii ni mara ya kwanza jambo kama hilo kutokea Tanzania?
 
Asante sana Rugambwa alikuwa mtu muhimu sana ktk taifa hili na alisaidia sana taifa ili so RIP na wamefanya vema kumzika kanisan make ilo kanisa aliacha ameweka juhudi zake kubwa amen
 
mm nilijua amef*@*ka na siku ya tatu amekufa.any way he was great man in hummanity
 
Sasa kanisa linachimbwa kaburi ndani au vipi Mkuu, nauliza maana sijawahi kusikia hilo.

Sijawahi enda kanisa lolote nikakuta kaburi ndani yake, vipi hii ni mara ya kwanza jambo kama hilo kutokea Tanzania?

Tembelea kanisa KUU la Kristu Mfalme Moshi utaona alipozikwa tha late Askofu Joseph Sipend
 
Nimetoka Bkb juzi jumatano,licha ya mji kujaa wageni wengi wanaokwenda kushuhudia tukio hili,lakini sikuona upande wa serikali na manispaa ya Bkb kama wamejiandaa. Majengo mengi ktkt ya mji yanatia aibu,hayajapakwa rangi kwa muda mrefu. Barabara hazina taa. Uwanja wa ndege ni wa moramu. Sikuiona Bkb ya enzi ya Jenerali Kiwelu na Kanali Mfuru.
 
Back
Top Bottom