Update: House girl anataka penzi liende hatua nyingine

dompazuri

Member
Aug 14, 2016
30
60
Habari zenu wanabodi;

Huu ni muendelezo juu ya ule uhusiano wangu niliouanzisha na haouse girl wa hapa nyumbani kwangu. Nilishalete mrejesho wa namna tunavyoendesha mahusiano yetu na ni kwa kiasi gani kila mmoja wetu amekuwa akifurahia uhusiano huu.

Kilichonirudisha tena hapa leo ni ombi ambalo huyu binti ameliwasilisha kwangu Siku za hivi karibuni. Huyu binti ameniambia hana raha kuendelea knye uhusiano huu akiwa ktk status yake hiyo(Beki3). Na pia , haipo clear kwake ni nini hatma ya huu uhusiano baina ya mimi na yeye. So, ameniambia anatamani, akapange chumba chake mwenyewe eneo la mbali na hapa nyumbani lakini anaomba ili kumuwezesha kumudu maisha basi nimboost kwa mtaji na aanze kufanya kabiashara kokote kale. Amesisitiza sana kuwa haitaji mamilioni mengi, anataka nifikirie biashara yoyote ile nitakayoona nitamudu kumsaidia yeye atafurahi ilimradi aondokane na hii kukaa hapa nyumbani kwani pia anajisikia vibaya anavyomuona dada yake(mke wangu).

Nimekuja mbele zenu wanabodi, ili mnipe ushauri ni approach gani niitumie ili kuweza kutekeleza hilo takwa la huyu bibie in a way ambayo ita sustain uhusiano wetu comfortably??

Natanguliza shukrani kwa michango yenu maridhawa.

Naambatanisha threads zilizotangulia zinazohusiana na mada hii:
Update: Almost Miezi minne (4) ndani ya penzi la house girl

Mrejesho: Nimeshatembea na yule house girl

Nafikiria kutembea na house girl
 
kama ungekuwa mchezaji ningekufananisha na Mrisho Ngassa a.k.a uncle
unakimbiza mpira weeee afu mbele ya uwanja unakimbia wewe mpira unauacha nyuma
ndo mana hukutakiwa Bidvest Wits
 
AFANYAE MAPENZI NJE YA NDOA ANAZINI.FANYA UAMUZI KAMA MTU MZIMA ILA KUMBUKA MAISHA YANAZIDI KUWA MAGUMU
 
Usimruhusu kuondoka kwani kama Wewe ulivyo mpata na huko ataona wengi watakuja. Na anajua wewe upo na mkeo huna muda mwingi wa kuwanae. Hata simu hutampigia kila mara na hapo atakuwa huru zaidi.
Ule utam ulokuwa unaupata unaukosa kabisa.
Mdanganye azeekee kwako
 
Habari zenu wanabodi;

Huu ni muendelezo juu ya ule uhusiano wangu niliouanzisha na haouse girl wa hapa nyumbani kwangu. Nilishalete mrejesho wa namna tunavyoendesha mahusiano yetu na ni kwa kiasi gani kila mmoja wetu amekuwa akifurahia uhusiano huu.

Kilichonirudisha tena hapa leo ni ombi ambalo huyu binti ameliwasilisha kwangu Siku za hivi karibuni. Huyu binti ameniambia hana raha kuendelea knye uhusiano huu akiwa ktk status yake hiyo(Beki3). Na pia , haipo clear kwake ni nini hatma ya huu uhusiano baina ya mimi na yeye. So, ameniambia anatamani, akapange chumba chake mwenyewe eneo la mbali na hapa nyumbani lakini anaomba ili kumuwezesha kumudu maisha basi nimboost kwa mtaji na aanze kufanya kabiashara kokote kale. Amesisitiza sana kuwa haitaji mamilioni mengi, anataka nifikirie biashara yoyote ile nitakayoona nitamudu kumsaidia yeye atafurahi ilimradi aondokane na hii kukaa hapa nyumbani kwani pia anajisikia vibaya anavyomuona dada yake(mke wangu).

Nimekuja mbele zenu wanabodi, ili mnipe ushauri ni approach gani niitumie ili kuweza kutekeleza hilo takwa la huyu bibie in a way ambayo ita sustain uhusiano wetu comfortably??

Natanguliza shukrani kwa michango yenu maridhawa.

Naambatanisha threads zilizotangulia zinazohusiana na mada hii:
Update: Almost Miezi minne (4) ndani ya penzi la house girl

Mrejesho: Nimeshatembea na yule house girl

Nafikiria kutembea na house girl
Ushaur wang wew ni malayaa
IMG-20170608-WA0009.jpg
 
Mpangie tu chumba usione shaka!endelea kukamua mzigo mdogomdogo!ili awe na uhakija zaidi muwekee zygote! penzi la beki 3 tamu wee acha kabisa!!,
 
Mpangishie tu wengine wakajitafunie kirahisi ww unafikir ukimpangishia utalala huko kila mara, ila embu mshirikishe dadake(mkeo) uone anasemaje
 
1. Ni kweli ukimpangishia jua mtakuwa wengi.
2. Ni kweli ukimpangishia ataletwa house girl mwingine ambaye utampangishia tena baada ya miezi tano.
3. Ni kweli hatua inayofuata ni kukutaka uhamie kabisa huko kwake na utelekeze familia.
4. Ni kweli ukishahamia huko mke wako atajiua.
5. Ni kweli katika mahousegirl wengi huyo wako tuu ndo anakiuka ule msemo wa "hakuna bekitatu tasa".
6. Ni kweli kuwa usipomzalisha baada ya wewe kuhamia kwake na mkeo kujiua, atakuletea wafiraji wakufire.
8. Ni kweli kuwa baada ya kugegedwa na wafirauni hao basi utajiua.
9. Ni kweli watoto wako watabaki yatima.
10. Ni kweli baba yako atajilaumu kwa nini hakupiga puli siku ya kutungwa mimba yako.
 
Kwanini usimuache mkeo umuoe mrangi wako ili uwekeze vizuri kwenye biashara yenu. Clearly you love your housegirl more than your wife.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom