Santieli
Member
- Apr 30, 2014
- 57
- 75
Wasalaam.....
Jamani matunda yapo ya aina mbalimbali kutika maeneo tofauti tofauti ndani na nje ya nchi yetu Tanzania.
Matunda kwangu ninaiona kama bidhaa yenye fursa ya kujikwamua kiuchumi kwangu mimi....
Wazo kubwa ni kutengeneza JUICE za asili na kuziweka katika vifungashio maalum vyenye nembo ya kampuni yangu kusudi kukuza brand yangu....
JUICE hizo ninategemea kuuza maeneo ya sokoni, stand za magari, karibu na hospitali pia sehemu nyingine zilizo na msongamano....
Mahitaji yake najua ni friji, juicer, dispenser, vuti na meza za kutumia wateja.....
Juice hizo zinaweza tokana na mchanganyiko wa matunda haya:-
Nanasi
Embe
Chungwa
Parachichi
Tango
Tikiti maji
Mastakafeli
Passion
Limao
Tende
Ndizi
Papai
Mapera
Na matunda mengineyo......
OMBI LANGU;-
Naomba tujuzane matunda haya yanapatikana haswa mkoa gani na misimu yake ni ipi ili kuhakikisha biashara hii haina msimu....
Taja tunda, mkoa linakopatikana kwa wingi, msimu wake na gharama zake....
Tupeane mawazo ili kujikwamua kimaisha ....
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani matunda yapo ya aina mbalimbali kutika maeneo tofauti tofauti ndani na nje ya nchi yetu Tanzania.
Matunda kwangu ninaiona kama bidhaa yenye fursa ya kujikwamua kiuchumi kwangu mimi....
Wazo kubwa ni kutengeneza JUICE za asili na kuziweka katika vifungashio maalum vyenye nembo ya kampuni yangu kusudi kukuza brand yangu....
JUICE hizo ninategemea kuuza maeneo ya sokoni, stand za magari, karibu na hospitali pia sehemu nyingine zilizo na msongamano....
Mahitaji yake najua ni friji, juicer, dispenser, vuti na meza za kutumia wateja.....
Juice hizo zinaweza tokana na mchanganyiko wa matunda haya:-
Nanasi
Embe
Chungwa
Parachichi
Tango
Tikiti maji
Mastakafeli
Passion
Limao
Tende
Ndizi
Papai
Mapera
Na matunda mengineyo......
OMBI LANGU;-
Naomba tujuzane matunda haya yanapatikana haswa mkoa gani na misimu yake ni ipi ili kuhakikisha biashara hii haina msimu....
Taja tunda, mkoa linakopatikana kwa wingi, msimu wake na gharama zake....
Tupeane mawazo ili kujikwamua kimaisha ....
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app