Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

nasikia kupata uwwakala wa MPESA ni issue hebu utujuze jamani
mimi nataka hata kesho lakini kupata hiyo number nasikia sasa hivi ni issue nikuone wapi themankind ili ikiwezekana nianze kabla ya tarehe 15 nimedhamiria
Kuna jamaa angu mmoja huwa anauza hizo laini ila huwa zina ulanguzi flani,siwezi taja bei zake nifate inbox nikuunganishe naye.
 
Heshima mbele wadau,
Hawa watu wa mitandao ya Tigo pamoja na M-Pesa wamefanya hizi laini zao za M-Pesa na Tigo Pesa kuwa kama biashara ya Madawa ya kulevya.
Ukifuata mfumo uliowekwa haupati katu abadani, itakuchukua hata mwaka kuzipata. Ni bora hata hao Tigo kidogo wana uhafadhali coz wanatumia mawakala ambao wana physical address kabisa.
Lakini hawa VodaCom ndo mama utaratibu wao ni mbovu. Hao mawakala hawajulikani wanapatikana wapi.
Nina miezi mitatu sasa toka nifanye hizo application za hizo laini. Mpaka nataka kughaili kufanya biashara hiyo, nifanye biashara nyengine.
 
Mimi kuna jamaa kaniambia kuna line za magumashi kama za mtaani nasikia ukinunua za mtaani yale malipo ya transactions mnagawana yaan kuna malipo yanaenda kwake na mengine unapata ww, lakini pia shida ipo ukifuata hatua kupata hizo line voda na tigo process ni ndefu mno na urasimu mkubwa sana wakati ni kitu cha siku moja tuu ila imekuwa biashara maana hyo bei unayolipia line ya M PESA ama TIGOPESA. Robo ya hyo hela ndo gharama halisi zingine zinapigwa tuu.... Voda na Tigo mnatuangusha tunataka kuwekeza tushilingi twetu humo lkn urasimu kibaoooo
 
Ninazo lain za m.pesa nichek tuongee biashara unaipata muda wwt utakao, no. 0765190024
 
Ninazo lain za m.pesa nichek tuongee biashara unaipata muda wwt utakao, no. 0765190024
Hawa jamaa wanachofanya mkuu ni wezi wakutupwa. Inakuwa hivi unapo apply makao makuu huitoa hiyo line na kumpatia wakara akupatie lkn badala wa wakala kukupatia hiyoline wao huiuza kwa mtu yeyote wanao mtaka na kuchukua hela, Sasa wewe utendelea kufwatilia na wao wataendelea kukuzungusha tu. baadae yule aliyepewa line ya jina lako anaitwa na wakala kubadilisha jina na hapo mchezo huwa umeisha.
 
Ukitaka kuucheza mziki wa laini ya Mpesa uipoteze ndio utaucheza vizuri. Itakutoka hela ndefu halafu kupata hiyo laini utasubiri sana.
 
Nafanya hiyo biashara, mwanzo nilianza na laini ya mtu, ila yangu niliipata baadae kwa muda kama wa miezi 6 hivi ila utaipata kwa kuwa na vitu vifuatavyo TIN Number,Leseni ya biashara,kitambulisho mf cha mpiga,na utambulisho toka serikali ya mtaa au kijiji
 
Nafanya hiyo biashara, mwanzo nilianza na laini ya mtu, ila yangu niliipata baadae kwa muda kama wa miezi 6 hivi ila utaipata kwa kuwa na vitu vifuatavyo TIN Number,Leseni ya biashara,kitambulisho mf cha mpiga,na utambulisho toka serikali ya mtaa au kijiji
Huko voda utalipia tsh ngap??
 
daah hii biashara changamoto kubwa kwa sasa ni hela feki inabidi kuwa makini sana,,,mm nimeifunga sababu hyohyo lakn nitarudi tena ngoja nizitambue vzur pesa feki na orginal
 
B
Duh! mkuu it seem hapo mtaani kwako kuna opportunity sana, kutokana na maelezo yako mafupi kuna fedha zimezaga sana hapo. Kwanini usifanye hivi, pata kama Laki 3 or 5. Then weka Tigo pesa elf 50, Zap laki, the rest M-Pesa. Halafu weka bango la huduma ya M-Pesa, Zap, Tigo na LUKU. Kumbuka subject kubwa ni LUKU na M-PESA.

Let the charges for M-Pesa remain constant as per maelezo utakayo pata from wahusika. Kuhusu kuuza LUKU tumia Zap, umeme wa 1000-3000 charge 300, umeme wa 4000-9000 charge mia tano, umeme wa 10000-14000 charge elf, 15000-20000 charge 1500, na 21000 and above 2000

In most cases utakuta kwamba katika laki moja you make a profit of elfu 10 within a few hours. Kama mtaani kwako kuna demand kubwa ya Luku you will make alot of money. Ila you have to make sure that unapata mtu wako wa karibu Airtel so that whenever you need Zap anakurushia halafu unampelekea pesa yake kama mtakavyo elewana. Also make sure you become an agent wa Airtel, watakupa line special.

Normally M-Pesa inasumbua sana wakati wa kununua Luku don't use it kabisa, just use Zap it is the best.
bro umeona jamaa ana fursa sana natamani ningekua maeneo ayo nikapiga pesa yani
 
Back
Top Bottom