Kuna jamaa angu mmoja huwa anauza hizo laini ila huwa zina ulanguzi flani,siwezi taja bei zake nifate inbox nikuunganishe naye.nasikia kupata uwwakala wa MPESA ni issue hebu utujuze jamani
mimi nataka hata kesho lakini kupata hiyo number nasikia sasa hivi ni issue nikuone wapi themankind ili ikiwezekana nianze kabla ya tarehe 15 nimedhamiria
Hawa jamaa wanachofanya mkuu ni wezi wakutupwa. Inakuwa hivi unapo apply makao makuu huitoa hiyo line na kumpatia wakara akupatie lkn badala wa wakala kukupatia hiyoline wao huiuza kwa mtu yeyote wanao mtaka na kuchukua hela, Sasa wewe utendelea kufwatilia na wao wataendelea kukuzungusha tu. baadae yule aliyepewa line ya jina lako anaitwa na wakala kubadilisha jina na hapo mchezo huwa umeisha.Ninazo lain za m.pesa nichek tuongee biashara unaipata muda wwt utakao, no. 0765190024
Na mimi nataka kujua kuhusu hii kitu bora umewahi kuulizaNaomba utaratibu wa kubadili jina la line kuwa la kwako ukinunua kwa mtu
Asante sana na laini Hizi zinauzwajeNimejifunza kitu kutoka kwako and yu've made my day. Ufafanuzi wako umekuwa darasa zuri sana na utatoa msaada kwa wengi. Endelea kuwa na moyo huo na usichoke kutoa ushauri pale utakapokuwa unahitajika tena.
Huko voda utalipia tsh ngap??Nafanya hiyo biashara, mwanzo nilianza na laini ya mtu, ila yangu niliipata baadae kwa muda kama wa miezi 6 hivi ila utaipata kwa kuwa na vitu vifuatavyo TIN Number,Leseni ya biashara,kitambulisho mf cha mpiga,na utambulisho toka serikali ya mtaa au kijiji
bro umeona jamaa ana fursa sana natamani ningekua maeneo ayo nikapiga pesa yaniDuh! mkuu it seem hapo mtaani kwako kuna opportunity sana, kutokana na maelezo yako mafupi kuna fedha zimezaga sana hapo. Kwanini usifanye hivi, pata kama Laki 3 or 5. Then weka Tigo pesa elf 50, Zap laki, the rest M-Pesa. Halafu weka bango la huduma ya M-Pesa, Zap, Tigo na LUKU. Kumbuka subject kubwa ni LUKU na M-PESA.
Let the charges for M-Pesa remain constant as per maelezo utakayo pata from wahusika. Kuhusu kuuza LUKU tumia Zap, umeme wa 1000-3000 charge 300, umeme wa 4000-9000 charge mia tano, umeme wa 10000-14000 charge elf, 15000-20000 charge 1500, na 21000 and above 2000
In most cases utakuta kwamba katika laki moja you make a profit of elfu 10 within a few hours. Kama mtaani kwako kuna demand kubwa ya Luku you will make alot of money. Ila you have to make sure that unapata mtu wako wa karibu Airtel so that whenever you need Zap anakurushia halafu unampelekea pesa yake kama mtakavyo elewana. Also make sure you become an agent wa Airtel, watakupa line special.
Normally M-Pesa inasumbua sana wakati wa kununua Luku don't use it kabisa, just use Zap it is the best.