Upatikanaji wa flemu Mwenge, Sinza, nk - dar na bei zake

Masomi

Member
Jan 18, 2011
22
4
Ndugu wana - JF nina mpango wa kufungua kijiduka cha VIPODOZI maeneo ya MWENGE, SINZA au sehemu nyingine inayofaa kwa biashara hiyo kulingana na ushauri wenu wadau.

Naombeni msaada wenu wa namna ya kupata flemu kwenye maeneo hayo niliyotaja au hata sehemu nyingine ilimradi iwe na mkusanyiko wa watu na inayofaa kwa biashara hiyo, makadirio ya bei za flem kwenye maeneo husika yatanisaidia pia.

Pia natumai nitapata ushauri mzuri kutoka kwa wadau wa biashara hiyo juu ya changamoto zake na namna ya kukabiliana nazo maana ndio niko kwenye mchakato na najaribu kufanya reserch kabla sijaingia rasmi.


Asanteni..... naomba kuwasilisha!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom