Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,452
- 215,249
Awamu ya 5 tuliambiwa upatikanaji wa dawa kwenye maeneo hayo umefikia hadi 94% hii likuwa 2018 , lakini watu walewale kwenye awamu ya 6 mwaka 2021 tunaambiwa upatikanaji wa dawa kwenye Zahanati na Hospitali zilezile umepanda hadi 61% kutoka 21% ilivyokuwa awali .
Anayeelewa hizi Takwimu atufafanulie
Nakala imfikie Mtaalamu wa Namba Tanzania Humphrey Polepole
Anayeelewa hizi Takwimu atufafanulie
Nakala imfikie Mtaalamu wa Namba Tanzania Humphrey Polepole