stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,819
- 22,921
Wadau wa JF wale ambao mmepitia vyuo vikuu vya nchi hii,hivi huu ukiritimba unaofanywa na vyuo vikuu almost vyote vya nchii hii katika kutoa vyeti pindi umalizapo chuo umekosa dawa kabisa!maana unamaliza chuo kupata cheti ni mbinde,karibuni tuchangie hili juu ya hili tatizo.