Identity haipotei,unabaki na kchwa chako.
lugha rahisi ni kwamba kinachobadilishwa ni kiwiliwili na siokichwa.
kicha ndio identity ya mtu, kule kichwa kilipo ndio mtu alipo.
si wajaribu kwanza kwa wanyama? sijasikia hiyo kitu wakifanya hata kwa kuku
Vipi kuhusu fingerprints mkubwa?
kama ikiwa hvyo ntaomba niwekewe ubongo wa chengeKma huo upasuaji utafanikiwa kabisa basi
kuna dalili hata uhamishaji wa ubongo
ukawezekana pia.
i.e Brain transplant ,
N.B: Omba usipewe ubongo wa kichwa maji.
Identity haipotei,unabaki na kchwa chako.
Nasikia walishawahi kujaribu kwa nyani miaka ya 70s lakini ndani ya wiki tu aliachia ngazi!!
Hata hyo ni achievement kubwa,tatizo kubwa ni kwamba huo mwili unatoa kemikali ambazo zinareject hiko kichwa yani mwili unaona kama umevamiwa.
SASA BUKOBA BOY~hicho kiwiliwili kipya kinatoka wapi maanake ukizingatia lazima kiwe na good health
Kuna mtu amejitolea kufa!
Itakuwaje ukawekewa kiwiliwili chenye kibamia, si ndo kukimbiwa na waif
Itakuwaje ukawekewa kiwiliwili chenye kibamia, si ndo kukimbiwa na waif