yuga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 371
- 255
Wana jf. Nilikuwa naomba nlmnisaidie kitu hiki.
Mfano nina matokeo nimeinguza kwenye exel labda A C B B B C C B C B sasa nataka nijumlishe points za hayo matokeo kwenye exel kwa kutumia kanuni alafu niweke division kwa kutumia kanuni je tunafanyeje na hapo kwenye matokeo tunachukua masomo aliyo fanya vzr ndo mengine yatafuata sasa.
Please nisaidie wanajf
Mfano nina matokeo nimeinguza kwenye exel labda A C B B B C C B C B sasa nataka nijumlishe points za hayo matokeo kwenye exel kwa kutumia kanuni alafu niweke division kwa kutumia kanuni je tunafanyeje na hapo kwenye matokeo tunachukua masomo aliyo fanya vzr ndo mengine yatafuata sasa.
Please nisaidie wanajf