samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
wadau nemepata tetesi kwamba mwezi huu serikari inampango wakuongeza mishahara kwa watumishi,kwa yeyote atakaye anza kazi na aliyopo kazini mshahara utakuwa sh million moja,naomba wenye ufaham juu ya hilo atupe ufafanuzi.