johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,571
Wizara ya afya imesema upandikizaji wa uboho kwa binadamu utaanza mwaka 2020 katika baadhi ya hospitali hapa nchini.
Hayo yamesemwa leo mjini Dodoma ambako vifaa vya Huduma hiyo vimeanza kuwekwa katika hospitali ya rufaa.
Source Star tv habari
Maendeleo hayana vyama!
Hayo yamesemwa leo mjini Dodoma ambako vifaa vya Huduma hiyo vimeanza kuwekwa katika hospitali ya rufaa.
Source Star tv habari
Maendeleo hayana vyama!