Upandikizaji wa moyo wa Nguruwe kwa binadamu

Unaona sasa!!! nitashangaa sana kusikia mtu anakula nyama ya nguruwe, kama nguruwe ameweza kutatua shida yake, huyo ni ndugu, kwanini mtu umle ndugu yake

Sio nguruwe tu samaki je nae asiliwe kisa ndugu kiungo chake kinatumika alafu wananyama wengi tunaingiliana nao viungo sababu na sisi ni wanyama mana tuna tumia sana viungo vya wanyama wengi kutengeneza vitu vingi mpk tunawala pia
 
Duniani ni mapito tu ndugu. Unaweza ukaekewa huo moyo na ukitoka tu spital ukafa kwa chengine.

Sijafanya research juu ya suala la matumizi ya kiungo cha mnyama huyo, nijuacho mimi ni kuwa tumekatazwa kumla.

Lakini ikitokea kuwa hata matumizi ya chochote kutoka kwake ni haram, basi siku ikifika ya kuchagua kuekewa kiungo icho au bora ukate maisha itakuwa ni sawa na kuchagua Akhera au Dunia.

Kwa mtu mwenye imani, Akhera ni chaguo sahihi.
Good,kupanga ni kuchagua
 
Kwani nguruwe wanaochinjwa wao hawaondolewi uhai?

Hao ambao imani hairuhusu watasubiri miujiza ya Mungu.
Je hawaoni kama huyo nguruwe atakayedhurumiwa uhai wake kwaajili ya binadamu hatakuwa ametendewa haki?
Je kule nchi zisizokubaliana na nguruwe haya yatafanikiwaje?
Je hawajaona kuna umuhimu wa kuelekeza nguvu zaidi kutatua tatizo la moyo husika badala ya kutwaa moyo wa kiumbe mwingine?
 
Uwekewe moyo was nguruwe siku ukifa ufanywe kitoweo,wadhungu wajanja aisee😁
 
Wanasayansi kutoka Marekani na Ujerumani wamesema chini ya kipindi cha miaka 3, wataanza kutumia Moyo wa Nguruwe kuokoa maisha ya binadamu ambao wanahitaji moyo ili kuishi.
Majaribio ya kupandikiza moyo wa nguruwe kwa nyani yamefaulu kwa zaidi ya miaka miwili na wanasayansi hao wanaamini utakuwa salama kwa binadamu.
Upandikizaji wa moyo wa nguruwe unaweza kuokoa maisha ya wengi ambao hufariki kila mwaka kutokana na ukosefu wa viungo vya binadamu kwa upandikizaji.
Ndugu zangu waislamu niongeze volume au inatosha???View attachment 1187340
Je, huo moyo wa nguruwe una uwezo sawa kiutendaji na moyo wa binadamu?
Je, binadamu akishapandikizwa huo moyo wa nguruwe atakuwa na uwezo wa kuishi kwa miaka mingapi?
Je, baada ya kupandikizwa moyo wa nguruwe ikatokea binadamu amefikia hatua ya kufa anaweza kupandikizwa tena moyo mwingine ambao ni wa nguruwe?
Je, ni nguruwe wa aina yoyote ambaye moyo wake unaweza kupandikizwa katika mwili wa binadamu?
Nitaendelea kuuliza kadri nitakavyojibiwa
 
Je, huo moyo wa nguruwe una uwezo sawa kiutendaji na moyo wa binadamu?
Je, binadamu akishapandikizwa huo moyo wa nguruwe atakuwa na uwezo wa kuishi kwa miaka mingapi?
Je, baada ya kupandikizwa moyo wa nguruwe ikatokea binadamu amefikia hatua ya kufa anaweza kupandikizwa tena moyo mwingine ambao ni wa nguruwe?
Je, ni nguruwe wa aina yoyote ambaye moyo wake unaweza kupandikizwa katika mwili wa binadamu?
Nitaendelea kuuliza kadri nitakavyojibiwa

Moyo wa nguruwe unatenda sawa sawa na moyo wa binadamu.

Ataishi miaka ileile aliyopangiwa kuishi hapa duniani.


Moyo wa nguruwe unapandikizwa kwa wagonjwa wa moyo tu,binadamu akifikia hatua ya kufa hawezi pandikizwa moyo mwingine kwani anaweza kufa kwa magonjwa mengineyo mbali ya ugonjwa wa moyo......hii ina maana kwamba kama wewe unaumwa magonjwa mengineyo na unakaribia kufa utakufa tu,kubadili moyo hakuzuii binadamu kufa.

Nguruwe watakaopandikizwa moyo hatujafahamu kwa kina ikiwa ni nguruwe yeyote au laaa,hoja na factor za msingi ni baada ya nguruwe husika kuonekana ana moyo wenye afya na usio na tatizo lolote.
 
Back
Top Bottom