number41
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,048
- 1,462
Unaona sasa!!! nitashangaa sana kusikia mtu anakula nyama ya nguruwe, kama nguruwe ameweza kutatua shida yake, huyo ni ndugu, kwanini mtu umle ndugu yake
Sio nguruwe tu samaki je nae asiliwe kisa ndugu kiungo chake kinatumika alafu wananyama wengi tunaingiliana nao viungo sababu na sisi ni wanyama mana tuna tumia sana viungo vya wanyama wengi kutengeneza vitu vingi mpk tunawala pia