germanium
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 749
- 1,041
We jamaa jinga sanaUtaskia moyo wangu unaumia juu yako!!!
Moyo wenyewe wa Nguruwe....
We jamaa jinga sanaUtaskia moyo wangu unaumia juu yako!!!
Moyo wenyewe wa Nguruwe....
Astaghafurahi
Je hawaoni kama huyo nguruwe atakayedhurumiwa uhai wake kwaajili ya binadamu hatakuwa ametendewa haki?
Je kule nchi zisizokubaliana na nguruwe haya yatafanikiwaje?
Je hawajaona kuna umuhimu wa kuelekeza nguvu zaidi kutatua tatizo la moyo husika badala ya kutwaa moyo wa kiumbe mwingine?
HahahaWe jamaa jinga sana
Sasa moyo na nyama ya nguruwe vna uhusiano gani hapo...Kwahiyo mtu atakaewekewa huo moyo wa nguruwe ataruhusiwa kula nyama ya nguruwe
Jaribu la imani mbele ya kifokwa wale akina nanii huu utakuwa ni mtihani mkubwa!
Wewe utaishi milele?Na mtakufa sanaaa
Usikufuru uumbaji wa Mungu, unafahamu kuwa kila organ ya huyo mnyama imeumbwa kuhimili speed hiyo sasa uwekewe wewe kesho tuimbe parapandaMe nataka waniungishe kiungo flan hivi adim cha mnyama fulani... naskiaga huwa hachoki kunako 😂 😤😤
cc: manengelo
Nitafanya jitihada za kimatibabu ikiwemo kuweka huo moyo,na kama kufa basi siku yangu itakuwa imefika....sio kukataa matibabu wakati kiumbe cha faida kipo na kimeumbwa na yeye mwenyewe.Wewe utaishi milele?
capybara, Bonobos Love Doing It Wherever, Whenever, And With WhoeverMnyama gan huyo???
Nawaza tu,ndio moyo wako unapunguza speed na wewe muislamu,halafu kuna moyo wa Nguruwe umewekwa pembeni unaulizwa vipi tuuweke...!Kama Yehova witness hawataki kuchangiwa damu na dini nyingine zitaridhia kuwekewa moyo wa nguruwe?
Bora nife tu kuliko kuwekewa najisi kwa minajili ya kuishi.Kama Yehova witness hawataki kuchangiwa damu na dini nyingine zitaridhia kuwekewa moyo wa nguruwe?
nafanya maboresho tu ili kufuta dharau zenyu..Usikufuru uumbaji wa Mungu, unafahamu kuwa kila organ ya huyo mnyama imeumbwa kuhimili speed hiyo sasa uwekewe wewe kesho tuimbe parapanda
Duniani ni mapito tu ndugu. Unaweza ukaekewa huo moyo na ukitoka tu spital ukafa kwa chengine.Nitafanya jitihada za kimatibabu ikiwemo kuweka huo moyo,na kama kufa basi siku yangu itakuwa imefika....sio kukataa matibabu wakati kiumbe cha faida kipo na kimeumbwa na yeye mwenyewe.