Upandikizaji wa moyo wa Nguruwe kwa binadamu

Accidental Genius

Senior Member
Aug 17, 2019
154
188
Wanasayansi kutoka Marekani na Ujerumani wamesema chini ya kipindi cha miaka 3, wataanza kutumia Moyo wa Nguruwe kuokoa maisha ya binadamu ambao wanahitaji moyo ili kuishi.

Majaribio ya kupandikiza moyo wa nguruwe kwa nyani yamefaulu kwa zaidi ya miaka miwili na wanasayansi hao wanaamini utakuwa salama kwa binadamu.

Upandikizaji wa moyo wa nguruwe unaweza kuokoa maisha ya wengi ambao hufariki kila mwaka kutokana na ukosefu wa viungo vya binadamu kwa upandikizaji.


Ndugu zangu waislamu niongeze volume au inatosha???
FB_IMG_15664595679229401.jpeg
 
Wanasayansi kutoka Marekani na Ujerumani wamesema chini ya kipindi cha miaka 3, wataanza kutumia Moyo wa Nguruwe kuokoa maisha ya binadamu ambao wanahitaji moyo ili kuishi.

Majaribio ya kupandikiza moyo wa nguruwe kwa nyani yamefaulu kwa zaidi ya miaka miwili na wanasayansi hao wanaamini utakuwa salama kwa binadamu.

Upandikizaji wa moyo wa nguruwe unaweza kuokoa maisha ya wengi ambao hufariki kila mwaka kutokana na ukosefu wa viungo vya binadamu kwa upandikizaji.


Ndugu zangu waislamu niongeze volume au inatosha???View attachment 1187340
Kuna boss wangu somewhere alikuwa anatumia kiungo kimojawapo changuruwe sikumbuki vizuri kama ni moyo ama kitu kingine. Utaalamu huu ni wa tangia zamani maana hiyo ilikuwa miaka ya mwisho ya 90.
 
Kuna boss wangu somewhere alikuwa anatumia kiungo kimojawapo changuruwe sikumbuki vizuri kama ni moyo ama kitu kingine. Utaalamu huu ni wa tangia zamani maana hiyo ilikuwa miaka ya mwisho ya 90.
Ni kweli aisee...lakini kwa huku kwetu hii teknolojia bado haijawekwa kama altenative rasmi...


Utaalamu huu ukianza kuna manufaa mengi sana kwani Ngutuwe hatoi Moyo tu bali hata figo.
 
Back
Top Bottom