Kalashkano
JF-Expert Member
- Jul 7, 2012
- 205
- 57
Mkuu wewe na Tz Daima naona mmekuwa mahakimu ktk hili. Au ndio njia ya kutuzuga ili tusifuatilie sakata la yule mbunge wenu na zile picha
Kwa maana unataka kutuambia picha za yule mbunge zipo kwa hakimu? Au nimekuelewa vibaya?