kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
Tulitangaziwa kuwa tarehe moja oktoba wana Dar es salaam ni siku ya kupanda miti. Majembe tunayo mgongoni ila tunaomba miche, eneo na maji ya kumwagilia ili tufanikishe zoezi.
Tunaomba uelekeo na utaratibu. Tupo tayari kuunga mkono agizo la RC wetu.
Miche, ardhi na maji!!!!!!
Tunaomba uelekeo na utaratibu. Tupo tayari kuunga mkono agizo la RC wetu.
Miche, ardhi na maji!!!!!!