Tegelezeni
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 268
- 124
-Imejengwa katika kiwanja # TB/TK/89
-Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja
-Ni nyumba mbili kwa moja, kila upande una vyumba viwili, master, sebule, kitchen, dinning, stoo, choo na bafu na imezungushiwa ukuta na mageti mawili kwani kila upande unajitegemea
-iko kwenye mtaa nyuma ya uwanja wa mpira wa TWIGA na unafikika kirahisi
-Nyumba haijakamilika na bei inaanzia 150M, na inapungua kulingana na maelewano
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mzee BEKA kwa simu namba +255 715 263682
-Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja
-Ni nyumba mbili kwa moja, kila upande una vyumba viwili, master, sebule, kitchen, dinning, stoo, choo na bafu na imezungushiwa ukuta na mageti mawili kwani kila upande unajitegemea
-iko kwenye mtaa nyuma ya uwanja wa mpira wa TWIGA na unafikika kirahisi
-Nyumba haijakamilika na bei inaanzia 150M, na inapungua kulingana na maelewano
Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mzee BEKA kwa simu namba +255 715 263682