Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,181
Bado nafikiri anaweza akawa msafi.
Kama kuna watu bado wanafikiri Chenge ni msafi basi mi makula m.afi yangu!!!
Bado nafikiri anaweza akawa msafi.
Mkuu hii habari ya ufisadi wa Chenge si tu unatia kinyaa, bali sasa unavuka mpaka.Kama uongoxi serikslini hsuwexi kumchukulia hatua, chama je? na jumuia zake kama UVCCM.
hizo nadharia za fikra na si uhalisiaBado ana haki zake za kisheria na Kibinadamu. Pengine tafsiri ya ufisadi inategemea sana mtazamo wa mtu.anaweza kuwa si fisadi?
Kwa miaka kadhaa nilikuwa nachanganywa sana na baadhi ya hatua zilizokuwa zikichukuliwa hasa na serikali ya awamu ya kwanza kuwaweka baadhi ya watu under house arrest even for years bila kuwafikisha mahakamani..
Ila sasa mambo haya ya kina Chenge na sarakasi za legal protocol nimefumbuka sana. Kwa nchi zetu hizi za dunia ya tatu kuwa na alternative mechanism nje formal system ni muhimu sana ili kuifanya dola iheshimiwe.
Chenge ndo tundu la sindano la ukweli juu ya ufisadi nchini.Hapo baadaye chenge anaweza kuisaidia sana Tanzania kuibua wezi wakuu. nina imani chenge siyo mroho na mjinga kiasi hicho, ila kuna kitu kinaendelea ndani kwa ndani na genge kubwa la wezi, na chenge atakuwa shahidi mzuri sana. aliposema 1.6B ni vijisenti, ina maana kuna wengine anaowajua walichukua kubwa zaidi. kwa sasa amekata rufaa kwenda mahakama kuu huko huko wapo akina mjuluzi waliokula pamoja naye hela ya escrow. chama chake kipo kimya kuhusu chenge, kinaogopa kwa sababu mwizi mkubwa yumo ndani ya hilo chama. iko siku watanzania watakuja kujua hapo baadaye mwizi mkubwa ni nani. joka kubwa lipo limevimba likitafuna hela na uhai wa waTZ, lakini mungu si athmani, yatakuja kuwekwa hadharani.
Mkuu, UVCCM ya sasa hawawezi kuandamana bila kulipwa posho! Bahati mbaya zaidi mlipaji posho mwenyewe yumo kwenye syndicate ya Chenge huyohuyo, kwahiyo posho haitoki. Usitake kujilinganisha enzi zenu na wao waliopo sasa. Utajidhalilisha bure!Miaka yetu ya UVCCM tayari tungekuwa barabarani tukipinga wizi huu wa mali ya watanzania.
UVCCM KWANINI HAMUANDAMANI KUPINGA UOZO HUU?
Tusihukumu.Kama kuna watu bado wanafikiri Chenge ni msafi basi mi makula m.afi yangu!!!
siyo kwa sababu wanaopaswa kuchukua hatua pengine si wasafi kama anavyofikiriwa yeye?Mkuu kama dhamira ya kumchukulia hatua mzee Chenge haipo hata tukiweka sheria gani yeye atatamba tu kuwa nyoka mskengezs.
Hatua za kuchukua zipo nyingi sana ikiwa ni pamoja na za kisiasa.
Mbona Mwalimu aliwachukulia hatua , tena za kisiasa, watu wakubwa zaidi?
Kinachoendelea ni Chenge kuruhusiwa kuwadharau wananchi na mamlaka zilizomfikisha hapo alipo.
siyo kwa sababu wanaopaswa kuchukua hatua pengine si wasafi kama anavyofikiriwa yeye?
and that is the problem...they do not want to be!Mkuu I believe katika "Falling Dominoes Theory".
Youve got Chenge, youve got the rest.
Na hii itarudisha heshima ya serikali.Kwa miaka kadhaa nilikuwa nachanganywa sana na baadhi ya hatua zilizokuwa zikichukuliwa hasa na serikali ya awamu ya kwanza kuwaweka baadhi ya watu under house arrest even for years bila kuwafikisha mahakamani..
Ila sasa mambo haya ya kina Chenge na sarakasi za legal protocol nimefumbuka sana. Kwa nchi zetu hizi za dunia ya tatu kuwa na alternative mechanism nje formal system ni muhimu sana ili kuifanya dola iheshimiwe.
Mkuu masopakyindi bahati mbaya sana ni kwamba huko UVCCM unakokusema wamejaa vifisadi vitoto na wale ambao wanaongozwa na tamaa na maslahi yao binafsi.. Sasa hivi wako busy kujitengenezea mitandao ya wagombea uraisi..
Huo ndio ukweli mchungu ndugu yangu..
Na akiwa prezidaa vyuo vikuu vitaanzisha somo , namna ya kuiibia serikali na kuweka mapato hayo uswissi.Chenge for president.