gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Tatizo kubwa kwa wafanyakazi wengi wa Tanzania hawajui kupigania haki zao, mtu anafukuzwa kazi kienyeji tu bila utaratibu lakini naye anaridhika.
Lakini pia kuna udhaifu mkubwa katika ajira hizi za contracts ambazo mameneja wa tanroads wa mikoa ndio wenye final say kwenye ajira zao. Binafsi sioni sababu ya msingi ya kutowapa permanent contracts kama wanavyofanya kwa wafanyakazi wengine wa mizani. Kwanini weighbridge operators tu ndio waajiriwe kwa contracts?
sasa hapo ndipo pa kuanzia unajua wanawepa kuwa na full responsibility kama wakiwaajairi permanent but wako kazini lazima wawatendee haki wawape ajira ya kudumu na pia iwe na terms zinazokubalika.