SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Yanga genge la mashoga tu wapo kumfurahisha mwarabu mkwepa kodisimba ni genge la wahuni tu lilijikusanya ili kumnufaisha Muamedi
Yanga genge la mashoga tu wapo kumfurahisha mwarabu mkwepa kodisimba ni genge la wahuni tu lilijikusanya ili kumnufaisha Muamedi
Mashoga tuYanga ni ya watanzania wote ndugu.
Fred vunjabei amezungumza leo tayari kuna watu wapo mikononi mwa polisi wengi ni UTOPOLO, Yule zeruzeru lao limewaponza alafu likaondoka kwenda Morocco Kwa basha wake kufokolewaKwanza nikiri tu mimi shabiki wa simba, jana nimeweka bandiko sijapata jibu lolote nimeambulia matusi ambapo nimeona sio ustaarabu kabsa, jf ipo kwaajili ya msaada sio kukejeliana,
pointi yangu
kwenye jezi ya SIMBA CS kuna maandishi nataka ufafanuzi wake, hili jina la Yanga jersey 2021-2022 GSM 2021-2022 linachanganyika vpi kwenye kilabu yetu ya SIMBA CS?
Nmejiuliza maswali mengi sana kwamaana Yanga wao hawataki kutumia hata rangi tu nyekundu vodacom, inakueje jezi ya SIMBA SC iwe na maadishi ya Yanga?
Kama ni hivi hakukua na haja ya kulalamika kile kipindi jezi zilivuja,
nawasilisha
Naombeni ufafanuzi kwa hili.
Yuda Exalioth
natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.View attachment 2003953
View attachment 2003944
View attachment 2003948
View attachment 2003951
Hata mimi nilimsikia akitoa maelezo kuwa hata yeye haelewi hizo jersey kuwa na sticker zenye maneno Yanga na GSM na akasema wanafanya uchunguzi ili kujua tatizo liko wapi. Ingawa to my opinion Bongo yote yanawezekana usikute Tenda ya kutengeneza hizo Jersey Vunjabei alim subcontract mtu mwingine ndio yakatokea yakutokea.Fred vunjabei amezungumza leo tayari kuna watu wapo mikononi mwa polisi wengi ni UTOPOLO, Yule zeruzeru lao limewaponza alafu likaondoka kwenda Morocco Kwa basha wake kufokolewa
Sikia wewe! Timu ya simba inamashabiki wengi uelewa ulionao wewe usifikiri nawengne wanao, ukikuta kuna uzi chagia kwa faida ya wasio na uelewa kama mimi, sio kudharau, unashusha hadhi ya jfKuna vitu ilikuwa havina haja ya kujibu kabisa maana ni ujinga uliopitiliza.sasa hapo kwa nyie mlionunua jezi ya simba mnaona hilo neno la yanga jerse...??? Kuna watu hawana habari za kuandika wanajiandikia tu na wengine bila kujua wanatumika kutia watu presha na wao wanaposti bila kujijua.
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Kwanza nikiri tu mimi shabiki wa simba, jana nimeweka bandiko sijapata jibu lolote nimeambulia matusi ambapo nimeona sio ustaarabu kabsa, jf ipo kwaajili ya msaada sio kukejeliana,
pointi yangu
kwenye jezi ya SIMBA CS kuna maandishi nataka ufafanuzi wake, hili jina la Yanga jersey 2021-2022 GSM 2021-2022 linachanganyika vpi kwenye kilabu yetu ya SIMBA CS?
Nmejiuliza maswali mengi sana kwamaana Yanga wao hawataki kutumia hata rangi tu nyekundu vodacom, inakueje jezi ya SIMBA SC iwe na maadishi ya Yanga?
Kama ni hivi hakukua na haja ya kulalamika kile kipindi jezi zilivuja,
nawasilisha
Naombeni ufafanuzi kwa hili.
Yuda Exalioth
natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.View attachment 2003953
View attachment 2003944
View attachment 2003948
View attachment 2003951
Waambie waelewe.Simba hawana mda wa kijinga kama huo