Uongozi wa simba kama mpo humu itoleeni ufafanuzi swala la jezi

Kwanza nikiri tu mimi shabiki wa simba, jana nimeweka bandiko sijapata jibu lolote nimeambulia matusi ambapo nimeona sio ustaarabu kabsa, jf ipo kwaajili ya msaada sio kukejeliana,

pointi yangu
kwenye jezi ya SIMBA CS kuna maandishi nataka ufafanuzi wake, hili jina la Yanga jersey 2021-2022 GSM 2021-2022 linachanganyika vpi kwenye kilabu yetu ya SIMBA CS?

Nmejiuliza maswali mengi sana kwamaana Yanga wao hawataki kutumia hata rangi tu nyekundu vodacom, inakueje jezi ya SIMBA SC iwe na maadishi ya Yanga?

Kama ni hivi hakukua na haja ya kulalamika kile kipindi jezi zilivuja,

nawasilisha
Naombeni ufafanuzi kwa hili.






Yuda Exalioth
natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.View attachment 2003953

View attachment 2003944

View attachment 2003948

View attachment 2003951
Fred vunjabei amezungumza leo tayari kuna watu wapo mikononi mwa polisi wengi ni UTOPOLO, Yule zeruzeru lao limewaponza alafu likaondoka kwenda Morocco Kwa basha wake kufokolewa
 
Fred vunjabei amezungumza leo tayari kuna watu wapo mikononi mwa polisi wengi ni UTOPOLO, Yule zeruzeru lao limewaponza alafu likaondoka kwenda Morocco Kwa basha wake kufokolewa
Hata mimi nilimsikia akitoa maelezo kuwa hata yeye haelewi hizo jersey kuwa na sticker zenye maneno Yanga na GSM na akasema wanafanya uchunguzi ili kujua tatizo liko wapi. Ingawa to my opinion Bongo yote yanawezekana usikute Tenda ya kutengeneza hizo Jersey Vunjabei alim subcontract mtu mwingine ndio yakatokea yakutokea.
 
Kuna vitu ilikuwa havina haja ya kujibu kabisa maana ni ujinga uliopitiliza.sasa hapo kwa nyie mlionunua jezi ya simba mnaona hilo neno la yanga jerse...??? Kuna watu hawana habari za kuandika wanajiandikia tu na wengine bila kujua wanatumika kutia watu presha na wao wanaposti bila kujijua.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Sikia wewe! Timu ya simba inamashabiki wengi uelewa ulionao wewe usifikiri nawengne wanao, ukikuta kuna uzi chagia kwa faida ya wasio na uelewa kama mimi, sio kudharau, unashusha hadhi ya jf
 
Simba hakuna watu wapumbavu kama wewe na utopolo wako mna mind vitu vidogo vidogo kama rangi, n.k
Kwanza nikiri tu mimi shabiki wa simba, jana nimeweka bandiko sijapata jibu lolote nimeambulia matusi ambapo nimeona sio ustaarabu kabsa, jf ipo kwaajili ya msaada sio kukejeliana,

pointi yangu
kwenye jezi ya SIMBA CS kuna maandishi nataka ufafanuzi wake, hili jina la Yanga jersey 2021-2022 GSM 2021-2022 linachanganyika vpi kwenye kilabu yetu ya SIMBA CS?

Nmejiuliza maswali mengi sana kwamaana Yanga wao hawataki kutumia hata rangi tu nyekundu vodacom, inakueje jezi ya SIMBA SC iwe na maadishi ya Yanga?

Kama ni hivi hakukua na haja ya kulalamika kile kipindi jezi zilivuja,

nawasilisha
Naombeni ufafanuzi kwa hili.






Yuda Exalioth
natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.View attachment 2003953

View attachment 2003944

View attachment 2003948

View attachment 2003951
 
Bongo haishiwi vituko yan jinga limetoa sticker huko linakojua likaja kuweka kwenye jersey ya simba likapiga picha likapost ili tu liwe femas na lipate followers ujinga mtupu
 
Mtu mwenye akili na fikra hawezi kuuliza swali la kipumbavu kiasi hicho ile ni sticker imebanduliwa kwenye jezi ya yanga ikabandikwa kwenye jezi ya simba kisha ikapigwa picha kwa lengo maalum.
 
Ukiona Mtu yoyote anaanza na maneno "Mimi Simba Damu" au "Mimi Yanga Damu" jua mtu huyo ni Mpumbavu anayetaka kuwaaminisha Watu kinachoaminiwa na Upumbavu wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom