hata mimi nilitamani nitembelee maduka ila nikaona hakuna haja, maana hata hili bandiko litaonwa na watu walionazo jezi za simbaUmejibu ili mradi uonekane umejibu lakini haukutoa ufafanuzi. Kwanini lebo ya jezi ya Simba iwe na maneno yanayosomeka Yanga na pia kuna GSM? nadhani hiyo hoja ya msingi ya mleta uzi.
Lakini Mimi ningependa kujua kwa walionunua jezi za Simba je ni kweli lebo ina maandishi hayo? Maana waandishi wa habari wanaongoza kwa kuleta uzushi na uongo ili kutengeneza taharuki
kwakweliHiyo sticker mtu kanunua jezi ya Yanga halafu akaamua aibandike hapo maana haiingii akilini jezi ya zima halafu iandikwe Yanga jersey
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
sasa binadam atajuaje kila kitu we jamaakwahiyo usifikilie kwamba wewe unajua kila kitu, ila asante kwa ufafanuzi wako
Heheheh na GSM akaamua kuweka muhuli wake. DadeqNaskia fred alipopewa oda nayeye akatoa oda kwa gsm
Jiwe na bashite waliihujumu yanga. Mwaka 2016 kurudi nyumamlikua hamfurukuti mbele ya chama kubwa Yanga. Ngoja tuone kama mtasimama mbele ya Yanga.Unasema miaka 5 bilabila mnatengeneza kitu kujifariji
😂😂Gsm ni kama maji usipokunywa utaoga
Kumbe na nyie mnalipiza mnatuhujumuJiwe na bashite waliihujumu yanga. Mwaka 2016 kurudi nyumamlikua hamfurukuti mbele ya chama kubwa Yanga. Ngoja tuone kama mtasimama mbele ya Yanga.
Kusema kwamba sticker ya Bakhresa inaweza ikatumiwa na kampun ya mo? Unajua ndan ya sticker kuna code kabisa? Na zinalipiwa.Sijajua una ufaham kiasi gani, ila kwamba uongozi uje utolee ufafanuzi wa sticker ya mauzo ni akili za kitoto sana. ile ni sticker tuu ya kutambua jezi dukani. sticker ya jinsi inaweza kubandikwa kwenye blauzi au chupi au kwenye shati ni makosa ya kawaida sana dukani.
Fafanua kwa upana kwa faida ya wengi sasa kaelimu kako si ukatumie sasa hapa sasa unapojitamba umesoma unaelim bila kuona faida ya hio elimu yako ni sawa na bureNamkumbuka Lowasa na vipaumbele vyake...Elimu ,Elimu ,Elimu ...kuna watu ni misukule aisee..inshu haihitaji hata akili nyingi kujua kama imebandikwa tu hapo nayo ni kitu cha kujadili?
We si unajiita mwanaSimba,Fafanua basi acha porojo
Kuna vitu ilikuwa havina haja ya kujibu kabisa maana ni ujinga uliopitiliza.sasa hapo kwa nyie mlionunua jezi ya simba mnaona hilo neno la yanga jerse...??? Kuna watu hawana habari za kuandika wanajiandikia tu na wengine bila kujua wanatumika kutia watu presha na wao wanaposti bila kujijua.Kwanza nikiri tu mimi shabiki wa simba, jana nimeweka bandiko sijapata jibu lolote nimeambulia matusi ambapo nimeona sio ustaarabu kabsa, jf ipo kwaajili ya msaada sio kukejeliana,
pointi yangu
kwenye jezi ya SIMBA CS kuna maandishi nataka ufafanuzi wake, hili jina la Yanga jersey 2021-2022 GSM 2021-2022 linachanganyika vpi kwenye kilabu yetu ya SIMBA CS?
Nmejiuliza maswali mengi sana kwamaana Yanga wao hawataki kutumia hata rangi tu nyekundu vodacom, inakueje jezi ya SIMBA SC iwe na maadishi ya Yanga?
Kama ni hivi hakukua na haja ya kulalamika kile kipindi jezi zilivuja,
nawasilisha
Naombeni ufafanuzi kwa hili.
Yuda Exalioth
natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.View attachment 2003953
View attachment 2003944
View attachment 2003948
View attachment 2003951