Uongozi wa simba kama mpo humu itoleeni ufafanuzi swala la jezi

Umejibu ili mradi uonekane umejibu lakini haukutoa ufafanuzi. Kwanini lebo ya jezi ya Simba iwe na maneno yanayosomeka Yanga na pia kuna GSM? nadhani hiyo hoja ya msingi ya mleta uzi.

Lakini Mimi ningependa kujua kwa walionunua jezi za Simba je ni kweli lebo ina maandishi hayo? Maana waandishi wa habari wanaongoza kwa kuleta uzushi na uongo ili kutengeneza taharuki
hata mimi nilitamani nitembelee maduka ila nikaona hakuna haja, maana hata hili bandiko litaonwa na watu walionazo jezi za simba
 
Namkumbuka Lowasa na vipaumbele vyake...Elimu ,Elimu ,Elimu ...kuna watu ni misukule aisee..inshu haihitaji hata akili nyingi kujua kama imebandikwa tu hapo nayo ni kitu cha kujadili?
 
Sijajua una ufaham kiasi gani, ila kwamba uongozi uje utolee ufafanuzi wa sticker ya mauzo ni akili za kitoto sana. ile ni sticker tuu ya kutambua jezi dukani. sticker ya jinsi inaweza kubandikwa kwenye blauzi au chupi au kwenye shati ni makosa ya kawaida sana dukani.
Kusema kwamba sticker ya Bakhresa inaweza ikatumiwa na kampun ya mo? Unajua ndan ya sticker kuna code kabisa? Na zinalipiwa.
 
Namkumbuka Lowasa na vipaumbele vyake...Elimu ,Elimu ,Elimu ...kuna watu ni misukule aisee..inshu haihitaji hata akili nyingi kujua kama imebandikwa tu hapo nayo ni kitu cha kujadili?
Fafanua kwa upana kwa faida ya wengi sasa kaelimu kako si ukatumie sasa hapa sasa unapojitamba umesoma unaelim bila kuona faida ya hio elimu yako ni sawa na bure

yaani bora usingechangia kabisa badala ujikite kutoa elimu sababu wewe unaelewa unakuja kudharau wenzio mambo ya kitoto kabsa hebu jaribu kuelewa hii ni Jamiiforums
 
Kwanza nikiri tu mimi shabiki wa simba, jana nimeweka bandiko sijapata jibu lolote nimeambulia matusi ambapo nimeona sio ustaarabu kabsa, jf ipo kwaajili ya msaada sio kukejeliana,

pointi yangu
kwenye jezi ya SIMBA CS kuna maandishi nataka ufafanuzi wake, hili jina la Yanga jersey 2021-2022 GSM 2021-2022 linachanganyika vpi kwenye kilabu yetu ya SIMBA CS?

Nmejiuliza maswali mengi sana kwamaana Yanga wao hawataki kutumia hata rangi tu nyekundu vodacom, inakueje jezi ya SIMBA SC iwe na maadishi ya Yanga?

Kama ni hivi hakukua na haja ya kulalamika kile kipindi jezi zilivuja,

nawasilisha
Naombeni ufafanuzi kwa hili.






Yuda Exalioth
natumia Jamiiforums
Karibuni Geita.View attachment 2003953

View attachment 2003944

View attachment 2003948

View attachment 2003951
Kuna vitu ilikuwa havina haja ya kujibu kabisa maana ni ujinga uliopitiliza.sasa hapo kwa nyie mlionunua jezi ya simba mnaona hilo neno la yanga jerse...??? Kuna watu hawana habari za kuandika wanajiandikia tu na wengine bila kujua wanatumika kutia watu presha na wao wanaposti bila kujijua.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom