RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Hata wewe. Wenye Avatar hiyoIli waelekeze kwenye kugharamia miundombinu! Tutazipeleka kwa wafiwa.
Hata wewe. Wenye Avatar hiyoIli waelekeze kwenye kugharamia miundombinu! Tutazipeleka kwa wafiwa.
nimecheka kwa ngv hapa aisee dahPolepole huko aliko anabana pumb ili michongo iwe mingi wapeleke kununua madiwani na wabunge
hilo jina linanikumbusha kijiji ki1 hvWapeleke wapi/mbona sikuhizi tunajitambua
Tunaangalia na wakati gani tunahitaji kupendana. Tuwe na Umoja kama Taifa Huru. Sisi Watanzania wote ni Ndugu. Ndio maana ukipata Ajali popote Katika nchi hii unasaidiwa na watu ambao hata hawajui na wengine pia wanashiriki Maziko yako bila Shida yoyote.kumpenda mwanaccm ni kosa la jinai kwasasa
alafu mkajengee mnara zinazobakia mnapiga😃😃Unataka nichangie kiasi gani?
Hawez sema hivo, wale wakukaya, ingekuwa mbeya huko ungesikia haipo kwenye ilan ya ccm!!!!!Jiwe hachelewi kusema..."Mliponichagua nilisema kivuko kitazama???" Wajibebee tuu matapeli wakubwaaa over...
alafu mkajengee mnara zinazobakia mnapiga😃😃
tupeni kwanza mrejesho wa kagera
Aah wapi, subiri uchaguzi mkuu ukifika uone kama kuna atakayekumbuka....!!!