Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,968
Nasikiliza U FM hapa wanasema uongozi wa mkoa wa Mwanza utafungua akaunti maalumu kwa ajili ya kukusanya rami rambi za misiba iliyotokea kutokana na ajli ya kupinduka kwa kivuko chaMV Nyerere katika ziwa victoria. Ni jambo jema tujiandae kutoa rambi rambi zetu kupitia akaumti hiyo