Gwesefe
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 680
- 377
Ni jambo la kustaajabisha kwa jiji kama la Dar es salaam kuanza kutekeleza mradi mkubwa kabisa wa zaidi ya 50bil na kushindwa kuwalipa fidia wakazi waliopisha maeneo hayo.
Kama wananchi wamekaa miaka mitatu toka wafanyiwe tathimini na hawajalipwa hata mia huku mradi ukiendelea kujengwa. hivi viongozi wa jiji wanautendea haki kweli mradi mkubwa kama huu au kila jambo mpaka Rais aingilie kati.
Waziri Jafo angalia mradi huu vizuri wananchi wanahamu na stand mpya, uongozi wa jiji wanakuangusha.
Kama wananchi wamekaa miaka mitatu toka wafanyiwe tathimini na hawajalipwa hata mia huku mradi ukiendelea kujengwa. hivi viongozi wa jiji wanautendea haki kweli mradi mkubwa kama huu au kila jambo mpaka Rais aingilie kati.
Waziri Jafo angalia mradi huu vizuri wananchi wanahamu na stand mpya, uongozi wa jiji wanakuangusha.