Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
watu mtaani wanashaangaa uamuzi wa chadema kumtimua zitto u naibu bungeni, wananchi walio wengi wanajua zitto kavuliwa uongozi wote mpaka u naibu katibu wa chama
wananchi wameanza kukosa imani na uongoza wa chadema kwa kuvuruga chama
wanasema chama kinakalibia kufa kifo kibaya:target:
wananchi wameanza kukosa imani na uongoza wa chadema kwa kuvuruga chama
wanasema chama kinakalibia kufa kifo kibaya:target: