Uongozi wa CHADEMA UMEOZA?

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
watu mtaani wanashaangaa uamuzi wa chadema kumtimua zitto u naibu bungeni, wananchi walio wengi wanajua zitto kavuliwa uongozi wote mpaka u naibu katibu wa chama

wananchi wameanza kukosa imani na uongoza wa chadema kwa kuvuruga chama
wanasema chama kinakalibia kufa kifo kibaya:target:
 
Watu wa mitaa ipi hiyo..............dua la kuku hilo........mtasubiri milele mkono udondoke.
 
Sio mitaa ni nchi nzima watu wameanza kujua ukweli kuwa chadema kwafukuta kwa ubaguzi
 
We! Jeykeyukweli wewe ndio umeoza sana na huna hoja ukalale utuache wenye nchi tujadiliane.
 
watu mtaani wanashaangaa uamuzi wa chadema kumtimua zitto u naibu bungeni, wananchi walio wengi wanajua zitto kavuliwa uongozi wote mpaka u naibu katibu wa chama

wananchi wameanza kukosa imani na uongoza wa chadema kwa kuvuruga chama
wanasema chama kinakalibia kufa kifo kibaya:target:

unategemea mitaa ya ccm iongee nini?
 
jamani huyu jeykey ni mzima kweli?unajua ana bore sana kila nikimsoma, amekua anaandika kama mashairi ya taarabu na ushakunaku,watu kama hao wanatuharibia siku zetu kwa upumbavu wao,mi napendekeza ifikie hatua kabla ya kupewa umemba hapa jf.watu wawe wanapewa online intavyuu.na hiyo itamsaidia mod kuwachuja hawa small minded people kama jeykey na kundi lake. Carramba!
 
jamani huyu jeykey ni mzima kweli?unajua ana bore sana kila nikimsoma, amekua anaandika kama mashairi ya taarabu na ushakunaku,watu kama hao wanatuharibia siku zetu kwa upumbavu wao,mi napendekeza ifikie hatua kabla ya kupewa umemba hapa jf.watu wawe wanapewa online intavyuu.na hiyo itamsaidia mod kuwachuja hawa small minded people kama jeykey na kundi lake. Carramba!


sasa wew umeandika nini jakaya ndo anazidi kumiminiwa degree za heshima
 
Ya ngoswe mwachie ngoswe! Ukistaajabu ya CDM utayaona ya CUF na utazimia ukiyaona ya CCM
 
watu mtaani wanashaangaa uamuzi wa chadema kumtimua zitto u naibu bungeni, wananchi walio wengi wanajua zitto kavuliwa uongozi wote mpaka u naibu katibu wa chama

wananchi wameanza kukosa imani na uongoza wa chadema kwa kuvuruga chama
wanasema chama kinakalibia kufa kifo kibaya:target:

Hizo porojo. Hatutaki kwenye JF watu wanaosema, 'watu huko mitaani, kuna maneno yameenea, n.k.', kama kweli unayoyasema ni kweli leta hapa quantifiable information siyo umbea. Kumbuka maneno ya Kelvin, 'If you can measuare what you say and present in numbers then you know something about it if not you know nothing'. Ni wananchi wa wapi, watu wa namna gani, na wapo wangapi waliokosa imani na uongozi wa CHADEMA?
 
watu mtaani wanashaangaa uamuzi wa chadema kumtimua zitto u naibu bungeni, wananchi walio wengi wanajua zitto kavuliwa uongozi wote mpaka u naibu katibu wa chama

wananchi wameanza kukosa imani na uongoza wa chadema kwa kuvuruga chama
wanasema chama kinakalibia kufa kifo kibaya:target:
Kwenye chama chako mangapi kama haya yanatokea mbona hutuambi wananchi wamekosa imani chama chako mpaka wengine mna wauwa...
 
Jamani lazima tukubali kwamba CHADEMA as an instituttion lazima iongozwe na misingi ya kufanyakazi badala ya ukihiyo wa kusema nani kasema nani kasema. Ndio inawezekana kabisa Zitto anamchango mzuri na uwezo, lakini ukweii unabaki kuwa hana adabu na ni diffiicult to work with. Je ni nani kati yenu angeweza kukaa na Zitto ama mtu kama zitto katika kufanya kitu chochote iwe ni kama surbordinate wa hata kikundi cha kupiga debe pale mjini? Lazima mjue CHADEMA haiwezi kuongozwa na ushabiki wetu hasa kwa sasa uchaguzi umepita lazima wafanye kazi. Hivi huyu zitto anatofauti gani na tabia ya mafisadi ndani ya CCM ambao mnashangaa kila siku kwa nini hawafukuzwi lakini huyu akivuliwa madaraka tu mnapiga kelele? mimi nadhani mkumbuke kabisa kwamba sisi wote tuko nje, tuuachie uongozi wa CHADEMA ufanye kazi. Je ni mara ngapi umekuta hata kwenye kazi mtu ana qualification kubwa tu labda hata Phd, na experience na contacts lakini anakosa kazi kwa someone very junior, simply because the attitude is not right. Zitto hana right attitude wote sisi tuliopata bahati ya kupata uongozi katika sehemu za kazi tumeshafanya maamuzi kama hayo na tumeshangaa hata hivyo CHADEMA kuwa na uvumilivu wa kiasi hicho. Msaidieni Zitto mliokaribu nae atumie muda huu ajifunze how to behave professinally popote pale atakapokua, bado ni mdogo ananafasi ya kujifunza. Ajifunze, Ajifunze ajifunze, sikubalina na wale wanaomshabikia kuhama chama itakula kwale, CCM na wengine wamekua wakim mkubatia kwa kuwa alikua ana address, maisha ni kutumiana na hawa wamemtumia sasa njia pekee ni yeye kukubali kujifunza kutokana na makosa.
 
watu mtaani wanashaangaa uamuzi wa chadema kumtimua zitto u naibu bungeni, wananchi walio wengi wanajua zitto kavuliwa uongozi wote mpaka u naibu katibu wa chama

wananchi wameanza kukosa imani na uongoza wa chadema kwa kuvuruga chama
wanasema chama kinakalibia kufa kifo kibaya:target:

CCM ndiyo imeoza vibaya na inanuka kweli kweli katika kila fani -- rushwa, uongozi mbaya, kusema uongo, ubabaishaji etc etc. Uthibitisho ni kuporomoka kwake katika uchaguzi kutoka asilimia 81 hadi 61 na hiyo imekuja pamoja na kampeni ya kitajiri na uchakachauji wa kura. CCM IS REALLY SMELLING!!!! AGHHHHH!!!!!!!
 
Kwenye chama chako mangapi kama haya yanatokea mbona hutuambi wananchi wamekosa imani chama chako mpaka wengine mna wauwa...

Tujadili CCM imewaua viongozi wao wangapi hadi sasa:


1, Edward Sokoine
2. Horace Kolimba
3. Salome Mbatia
4. Amina Chifupa...?\
5.......
6......

Ongezeeni orodha hiyo tafadhali
 
watu mtaani wanashaangaa uamuzi wa chadema kumtimua zitto u naibu bungeni, wananchi walio wengi wanajua zitto kavuliwa uongozi wote mpaka u naibu katibu wa chama

wananchi wameanza kukosa imani na uongoza wa chadema kwa kuvuruga chama
wanasema chama kinakalibia kufa kifo kibaya:target:

It seems unamatatizo kidogo ya diagnostic ability.Kwasababu ni wazi kwamba Zitto ni double dealer,yuko tayari kwenye payroll ya mafisadi,ambao to me ni synonimous na CCM.Sasa mtu kama huyo atakuwaje mmoja wenu?Obviously haiwezekani kwa kipimo chochote.No,leo mmezungumza jambo kesho liko the other side.Ni bora aondoke.
 
CCM ndiyo imeoza vibaya na inanuka kweli kweli katika kila fani -- rushwa, uongozi mbaya, kusema uongo, ubabaishaji etc etc. Uthibitisho ni kuporomoka kwake katika uchaguzi kutoka asilimia 81 hadi 61 na hiyo imekuja pamoja na kampeni ya kitajiri na uchakachauji wa kura. CCM IS REALLY SMELLING!!!! AGHHHHH!!!!!!!

hAPA SASA NDO UTAPIMA CHADEMA INANYOKUFA

plain A
 
Tujadili CCM imewaua viongozi wao wangapi hadi sasa:


1, Edward Sokoine
2. Horace Kolimba
3. Salome Mbatia
4. Amina Chifupa...?\
5.......
6......

Ongezeeni orodha hiyo tafadhali


Tujadili CHADEMA imewaua viongozi wao wangapi hadi sasa

1. CHACHA WANGWE
2.NEXT ..........z
 
sasa wew umeandika nini jakaya ndo anazidi kumiminiwa degree za heshima

Wewe ndo bure kabisa!!!! Degree za heshima zanatusaidia nini sisi watanzania wa kawaida???? Sisi tunahitaji maendeleo ya Taifa letu kwa ujumla na si maendeleo feki ya mtu mmoja tena anechangia kuangamiza taifa!!! Wake up for a minute!!!!! Dimwitt!!
 
Wewe ndo bure kabisa!!!! Degree za heshima zanatusaidia nini sisi watanzania wa kawaida???? Sisi tunahitaji maendeleo ya Taifa letu kwa ujumla na si maendeleo feki ya mtu mmoja tena anechangia kuangamiza taifa!!! Wake up for a minute!!!!! Dimwitt!!

maendeleo gani wewe unataka
CCM imekusadia ukue kwa amani mpaka sasa umepata maendeleo
 
Back
Top Bottom