Morgan Freeman
Member
- Mar 14, 2015
- 85
- 105
Tumia jicho la tatu kufikiri hilo suala ya kwamba gharama ya kuifuta chadema ni kubwa kuliko kuiacha
Coz kuifuta ni kutengeneza mazingira ya kuwapeleka wote ACT jambo ambalo litakua na impact mbaya bara na visiwani na kuiacha hai ni least coz kazi rahisi ni kuwafitinisha na ACT unawaacha watoane macho nyie mnapeta tu
So Hata iweje kwa sasa msajiri hawezi bet hii kamati
Coz kuifuta ni kutengeneza mazingira ya kuwapeleka wote ACT jambo ambalo litakua na impact mbaya bara na visiwani na kuiacha hai ni least coz kazi rahisi ni kuwafitinisha na ACT unawaacha watoane macho nyie mnapeta tu
So Hata iweje kwa sasa msajiri hawezi bet hii kamati