Uongozi wa CHADEMA Taifa unaisha muda wake siku ya Ijmaa tarehe 14.09. 2019

hugochavez

JF-Expert Member
Mar 1, 2013
1,907
1,009
Taarifa nilizodokezwa kutoka ndani ya CHADEMA ni kwamba uongozi wa chama hicho Taifa unaisha muda wake siku ya ijmaa tarehe 14.09. 2019 na kama hawajafanya uchaguzi msajili wa vyama siasa Nchini atalazimika kukifuta chama hicho au kukitaka kisitishe shughuli za kisiasa Nchini.

Hata hivyo viongozi wake akiwemo mwenyekiti Freeman Mbowe na Dr Mashinji wapo kimya na hakuna dalili zozote za kuitisha uchaguzi hivi karibuni jambo litakalohalalisha kufutiwa usajili.
My Take: Yale Yale ya kupuuza katiba ya Nchi.
 
Watashinda lakini hawatashinda.

Unaweza kuvuta vyama vya siasa, lakini kamwe huwezi futa fikra za kutaka mabadiliko.
Hivi wewe hapa unatetea nini?

Hiyo democrasia mnayolilia kila siku kwa nini msianze kui apply hapo chadema kwanza?

Hata kama huyo mbowe mnampenda vipi kwanini msiwe mnamchagua pindi uchaguzi ukifika?

Hivi chadema watapata akili lini? Kwanini mnawapa ccm sababu ya kuwagonga kila iitwapo leo?
 
Taarifa nilizodokezwa kutoka ndani ya CHADEMA ni kwamba uongozi wa chama hicho Taifa unaisha muda wake siku ya ijmaa tarehe 14.09. 2019 na kama hawajafanya uchaguzi msajili wa vyama siasa Nchini atalazimika kukifuta chama hicho au kukitaka kisitishe shughuli za kisiasa Nchini.

Hata hivyo viongozi wake akiwemo mwenyekiti Freeman Mbowe na Dr Mashinji wapo kimya na hakuna dalili zozote za kuitisha uchaguzi hivi karibuni jambo litakalohalalisha kufutiwa usajili.
My Take: Yale Yale ya kupuuza katiba ya Nchi.
!Mbona hata kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa wapo kimya......Msajili aache mikwala bhana mikoba ya mugabe atairithi nani?!!
 
Taarifa nilizodokezwa kutoka ndani ya CHADEMA ni kwamba uongozi wa chama hicho Taifa unaisha muda wake siku ya ijmaa tarehe 14.09. 2019 na kama hawajafanya uchaguzi msajili wa vyama siasa Nchini atalazimika kukifuta chama hicho au kukitaka kisitishe shughuli za kisiasa Nchini.

Hata hivyo viongozi wake akiwemo mwenyekiti Freeman Mbowe na Dr Mashinji wapo kimya na hakuna dalili zozote za kuitisha uchaguzi hivi karibuni jambo litakalohalalisha kufutiwa usajili.
My Take: Yale Yale ya kupuuza katiba ya Nchi.
Vipi katiba ya nchi mbona kuna viongozi wanaipuuza itakuwa ya chadema?
 
Back
Top Bottom