Uongozi wa Catholic Univaersity College of Mbeya, liangalieni suala la Mavazi

Ila huwa kuna tetesi mkuu, kuwa hali ikiwa ngumu watot wa mzumbe na saut hujumuika pale carnival japo mm mpk naondoka mbeya hakuna ushahid uliowah kupatikana. Siyo mzumbe wala saut c unajua hiv vyuo vipo karibu na carnival, so watu wanaweza kutunga pia ikaonekana kweli
Ok, wazo jipya hilo, nitatumia watu wangu kufanya uchunguzi
 
Hivi Siku hizi kuna Chuo kweli?
Ilikuwa enzi hizo, kinaitwa "Nyegezi Social Training Institute." Wahasibu wametoka hapo (Genuine CPA), Materials managers(Genuine CSP). Siku hizi ni tarumbeta tu! Hamna lolote.
 
tuache unafiki jamani,Kuna wadada vyuoni wanavaa visketi vifupiii halafu vilainiii ,kinampasuko mpaka karibu na magoda.yaani ukivitazama unajiuliza hivi, hiv vidada,itafika kipindi vitaanza kisema Mungu nipe mume mwema!!!
 
Mm naona iyo ni marketing strategy yako !! Icho chuo kwanza wana offer programs gani za kulitishia taifa hapa ? Mara nyingi vyuo kama ivyo vishiriki unakuta hata library yenye hadhi havina ....
Hostels za ku accommodate wanafunzi pia shida na mbaya zaidi hata instructors wao wengi sana ni masters holders then wale PHD holders unakuta ndio top administrators kama VC au DVC

Kwa hiyo embu tuache kidogo na swala lako la mavazi ww uje na viwango vya ufaulu / ubora wa icho chuo that's all
 
Miaka kadhaa iliyopita wadada walikokuwa wanasoma chuo husika walikuwa wanavaa vizuri mno mpaka nikafanikiwa kupata mke toka hapo

Ila nimeenda wiki lililopita sijaaami nilicho kiona

Nikajiuliza yafuatayo
1) yule madam aliyekuwa dean of students aliyekuwa akiwaaibisha wadada na vi skin taight vyao kaacha kazi au katolewa kwenye hicho cheo?
2) Siku hizi wamewaruhusu wale wadada wa Carnival mafyati na savoy kuingia kujiuza pale ndani?
3)Chuo kikipanda hadhi kinaambatana na kumomonyoka kwa maadili?
4) Ile kozi ya social Ethics siku hizi wameacha kufundisha wale warumi?
Wadada unavaa kasketi kamekubana mpaka chupi ya ndani inachora? Daaa tuoneeni huruma,

Halafu utafikiri ni vitoto vidogo ila vejibeba balaa


Nawasilisha
Huu uzi bila picha ya kuthibitisha hili unalolisema ni "Uchochezi"
 
Uko sahihi lakini sema umeweka uongo mwingi.

Eti wanaruhusiwa kujiuza ndani ya chuo wakati chuo kipo ndani ya kanisa na kuna kizuizi pamoja na walinzi
Ukisoma vizuri utaelewa,tatizo umesoma kwa pupa. anachosema hapo ni kwamba walivyovaa utadhani ni machangu wameingia chuoni kujiuza. yaani ukiwaangalia hao wanachuo walivyovaa utadhani machangu wameingia chuoni kujiuza.
 
Hivi Siku hizi kuna Chuo kweli?
Ilikuwa enzi hizo, kinaitwa "Nyegezi Social Training Institute." Wahasibu wametoka hapo (Genuine CPA), Materials managers(Genuine CSP). Siku hizi ni tarumbeta tu! Hamna lolote.
Shule ilikuwa enzi zenuu?
 
Mm naona iyo ni marketing strategy yako !! Icho chuo kwanza wana offer programs gani za kulitishia taifa hapa ? Mara nyingi vyuo kama ivyo vishiriki unakuta hata library yenye hadhi havina ....
Hostels za ku accommodate wanafunzi pia shida na mbaya zaidi hata instructors wao wengi sana ni masters holders then wale PHD holders unakuta ndio top administrators kama VC au DVC

Kwa hiyo embu tuache kidogo na swala lako la mavazi ww uje na viwango vya ufaulu / ubora wa icho chuo that's all
4 and above, that's all
 
Ukisoma vizuri utaelewa,tatizo umesoma kwa pupa. anachosema hapo ni kwamba walivyovaa utadhani ni machangu wameingia chuoni kujiuza. yaani ukiwaangalia hao wanachuo walivyovaa utadhani machangu wameingia chuoni kujiuza.
Nashukuru kwa ufafanuzi

Kiswahili ni kigumu sana
 
Back
Top Bottom