Huku kwetu huyo bwana anayempinga Obama angepotezwa!!! Kama alivyopatezwa yule diwani kule Kigoma kabla hata jiwe halijafika alichukuliwa akahifadhiwa ili asije kumpinga! Hajarudishwa hadi leo, na haijulikani aliuliwa ama la! Na waliomchukua wanajulikana wazi!!
Sifa kubwa ya Kiongozi ni hekima, na kuwasikiliza unaowaongoza hata kama wako kinyume na wewe.
Naunga mkono hoja, ila ili hiyo hekima itumike, kitu cha kwanza ni uwepo wa hiyo hekima yenyewe, kwanza, iwepo. Ikiisha kuwepo ndipo sasa itumike.Sifa kubwa ya Kiongozi ni hekima, na kuwasikiliza unaowaongoza hata kama wako kinyume na wewe.
Hawajasema kuwa na hekima si kuchapa kazi. Kama unachapa kaz ili kukomoa watu unajidanganya.Huyu wa huku yeye hana shida na hizo hekma.
Yeye ni kuchapa kazi tu hadi mnyooke...teh