Uongozi udom chanzo cha migomo.

SMG

Member
Oct 1, 2011
40
6
Viongoz UDOM ndio wasababish wa Migomo yote iliyotokea na itakayotokeo siku zijazo kwa kuwa tangu 15/10/2011, chuo kilifunguliwa lakin cha kusikitisha ni kwamba had sasa wanachuo hawajawekewa fedha za kujikimu kwenye account zao. Wanafunzi walifanya maongez na bodi ya mikopo kuhusu tatizo hilo na bodi wamesema kuwa fedha hizo walishaziwasilisha chuo kwa muda wa mwez sasa.Taarifa za uongoz wa wanafunz zinadai kuwa fedha hizo zimewekwa kwenye fixed account na Prof. Mlacha na wanafunzi wanaombwa kuwa wavumilivu kwa kuwa tayar wamesain mikopo yao kilichobaki ni kuwekewa pesa zao baada ya wiki mbili. Kwa sasa tayar wanafunz wameshajipanga kuanzisha mgomo j3 ijayo kushinikiza kulipwa pesa zao na kupinga uongoz wa chuo kukumbatia feeha zao kwenye fixed account. Je, wanaJF naomba kuuliza kuwa kwa hali hii MIGOMO Vyuon hasa UDOM cha kibabaishaj itaisha? Naomba kuwasilisha mjadala.
 
Mwanafunzi ameingia mkataba na Bodi ya mikopo wala sio chuo, inakuaje pesa ipelekwe chuoni.

Uongozi wa Udom ina maana hawajui maisha ya wanachuo wao, wengi wanategemea bumu hata kwa nauli, inakuaje wanakaa zaidi ya wiki nzima bila ya kuwekea hela.

Wasomoni wa Tanzania badala ya kutatua matatizo wanatengeneza matatizo.
 
Huu ni upuuzi tu!
Fedha ya mkopo inamuhusu mwanachuo na bodi.
Mlacha atahusikaje hapa.
 
upuuzi mtupu ninge kuona wa maana kama wewe na wenzio mngegoma ili kuwasaidia wadogozenu wa mwaka wa kwanza ambao hawana mkopo wala pesa za kujikimu ili wawezekupata na kuendelea na masomo yao coz kuna 1st year kibao wameshindwa kujiunga hapo UDOM na ambao wa wakua registered hawajui hatima ya maisha yao ya chuo hadi sasa itakuaje licha ya kwamba walifauru vizuri sana na JK akasama hamna mwanafunzi mwenye div one na two ambae atakosa mkopo kitu ambacho ameonesha kushindwa kutekeleza wakati huu.Wakati huohuo wizara ya ya elimu na HESLB Wanajikanyaga na misamiati ya TUMEFUTA KIGEZO CHA UFAULU, NON PRIORITY, BUDGET EXHAUSTED,NAME DIFFERENCES wakati wana zima ndoto za watu hasa watanzania wasio na hatia.

MAY TAKE: KIKWETE NA MAWAZIRI WAKO WENYE VIGUGUMIZI NIMEWACHOKA
 
Viongoz UDOM ndio wasababish wa Migomo yote iliyotokea na itakayotokeo siku zijazo kwa kuwa tangu 15/10/2011, chuo kilifunguliwa lakin cha kusikitisha ni kwamba had sasa wanachuo hawajawekewa fedha za kujikimu kwenye account zao. Wanafunzi walifanya maongez na bodi ya mikopo kuhusu tatizo hilo na bodi wamesema kuwa fedha hizo walishaziwasilisha chuo kwa muda wa mwez sasa.Taarifa za uongoz wa wanafunz zinadai kuwa fedha hizo zimewekwa kwenye fixed account na Prof. Mlacha na wanafunzi wanaombwa kuwa wavumilivu kwa kuwa tayar wamesain mikopo yao kilichobaki ni kuwekewa pesa zao baada ya wiki mbili. Kwa sasa tayar wanafunz wameshajipanga kuanzisha mgomo j3 ijayo kushinikiza kulipwa pesa zao na kupinga uongoz wa chuo kukumbatia feeha zao kwenye fixed account. Je, wanaJF naomba kuuliza kuwa kwa hali hii MIGOMO Vyuon hasa UDOM cha kibabaishaj itaisha? Naomba kuwasilisha mjadala.

Huyu jamaa ni kimungu mtu hapo UDOM? Mbona kila siku Mlacha Mlacha Mlacha...katoeni kwa nguvu...
 
Back
Top Bottom