Rais Jk amesema kuwa kazi kubwa ya kiongozi ni kuwatumikia wananchi,kwa kuwasikiliza na kutatua matatizo yao,,,,,,,,,,aliongea akiwa hukooo mkoani LINDI.
MY TEKI: Sijui alimaanisha kuwa yeye ni msikivu au aliwaambia watu wake wawe waskivu kwa raia
Chanzo:uhuru
MY TEKI: Sijui alimaanisha kuwa yeye ni msikivu au aliwaambia watu wake wawe waskivu kwa raia
Chanzo:uhuru