Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Kwa tiketi ya Chadema kamanda.
Ndugu Diwani nimefurahishwa na plan yako, maana madiwani na wabunge wa ukweli wa CHADEMA, mjitofautishe kabisa kiutendaji na wale wa CCM. Ulicho amua ni sawa, ila ukigawa hizo pesa mashuleni, utakuwa umewapelekea ulaji walimu. Njia nzuri ni kupeleka vitu, kama ni chakula, madawati, vitabu, kalamu nk.
Na wasiwasi na kumkabidhi mtu pesa, labda ufuatilie matumizi yake kwa karibu maana unaweza kumlaumu mtu kumbe wewe ndo ulikosea.