charles mvuye
Member
- Nov 6, 2016
- 8
- 2
Machinga jijini Mwanza Leo wamevunjiwa vibanda vyao vya biashara bila makubaliano na serikali wapi wataenda kufanya biashara zao huku mkuu wa wilaya Nyamagana akikataa kabisa kutokaa meza moja kulijadili na viongozi wa wafanya biashara hao.