S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 82
Selasin kajiunga juzi tu tayari ni mjumbe? Kwa kuwa ni MCHAGA?
Huo ni MKUTANO MKUU...mbona Lipumba yumo humo au na yeye ni CHADEMA...!!!!!
Selasin kajiunga juzi tu tayari ni mjumbe? Kwa kuwa ni MCHAGA?
Salaam zimefuatiwa na uzinduzi wa viwili. 'Chadema ni Msingi' na 'Maendeleo Dialogue'. Sasa wanazindua uchangia wa kielectronik kwa njia ya mtandao.
Salaam zimefuatiwa na uzinduzi wa viwili. 'Chadema ni Msingi' na 'Maendeleo Dialogue'. Sasa wanazindua uchangia wa kielectronik kwa njia ya mtandao.
Mke wa Mbowe naye anahutubia!.
Kujiunga Chadema sasa ni kwa simu ya mkononi na mchango ni 300 tuu kwa mwezi.
Mbowe amemalizia kwa kuifagilia Cuf na kusisitiza Chadema itashirikiana na vyama makini tuu.
Ccm kumbe ilitoa ushauri kwa Chadema jinsi ya kuendesha demokrasia. Amesema hali ya Chadema ni kama ina mafua ila Ccm ina kansa. Hotuba ya Mbowe imekuwa ikikatishwa na ushangiliaji unaongozwa na Jose Selasin
He he he heheeee, familia kwanza hata kwenye mambo ya chama!
Hii safi sana, chama hujengwa na wanachama...sasa kwa mwendo huu kila aliyetoa Shs 300 yake ana haki ya kuhoji kila senti inavyotumika. Na huenda hata wakafikia mahali hawahitaji tena ruzuku...just thinking aloud
Mke wa Mbowe naye anahutubia!.
Wageni waalikwa hao mkuu...wanaiga Waingereza. Si ulisikia Mbowe alikuwa shule UK miaka ya nyuma..lol
atii umesema first lady au???????????
Balaa tupu.... huu sio mkutano mkuu na kama ni mkutano mkuu sikutegemea waalikwa watoke vyama vingine kuja kushuhudia Hotuba ya Mbowe??
Enewei Zitto kawa nyepesi so lets keep watching tuone how far this will go...
siyo kuiga Waingereza, hata wakati tunaongozwa na machifu/watemi/watwa/mangi ... wake zao walikuwa sehemu muhimu katika utawala wao. Soma vizuri historia mzee. Tambua kwamba mafanikio yako yanachangiwa sana na spouse wako. Mbona Mama Salma anapewa nafasi yake kama first lady na hujawahi kushutuma kuwa ni uzungu? au kwasababu Kikwete hajawahi kwenda kusoma ulaya?
Na ana haki ya kugombea cheo chochote kile!