Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,571
Salaam, nilihudhuria mkutano mkuu wa Chadema uliofanyika ukumbi wa Kiramoo ulioko Mbezi Beach Sec School.
Siku ya kwanza ulianza kwa maandamano na kufuatiwa na hotuba ya ufunguzi iliyotolewa na Mwenyekiti Mbowe.
Siku ya pili ulipokea taarifa mbalimbali za chama na kufanya uchaguzi mkuu.
Matokeo ni:-Mwenyekiti ni Freeman Mbowe: kura ndiyo 425 (93%), kura hapana 22 (5%), Zilizoharibika 10.
Makamu mwenyekiti znz: Said Issa Mohamed 243 (53%), Said Mzee Said 212 (46%), Zilizoharibika 4
Makamu mwenyekiti bara: Said Arfi 315 (69%), Shambwee Shitambala 99 (22%), Ben Kapwani 40 (9%), Zilizoharibika 2.
Uchaguzi umekwisha sasa kwa Chadema imebaki kuponya vidonda, kufukia makovu na kujenga chama tayari kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2010.
Siku ya kwanza ulianza kwa maandamano na kufuatiwa na hotuba ya ufunguzi iliyotolewa na Mwenyekiti Mbowe.
Siku ya pili ulipokea taarifa mbalimbali za chama na kufanya uchaguzi mkuu.
Matokeo ni:-Mwenyekiti ni Freeman Mbowe: kura ndiyo 425 (93%), kura hapana 22 (5%), Zilizoharibika 10.
Makamu mwenyekiti znz: Said Issa Mohamed 243 (53%), Said Mzee Said 212 (46%), Zilizoharibika 4
Makamu mwenyekiti bara: Said Arfi 315 (69%), Shambwee Shitambala 99 (22%), Ben Kapwani 40 (9%), Zilizoharibika 2.
Uchaguzi umekwisha sasa kwa Chadema imebaki kuponya vidonda, kufukia makovu na kujenga chama tayari kwa uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2010.
Last edited by a moderator: