Hongereni vijana!! Kwa faida yangu na wengine nangoja wadadavuaji watuambie mwemyekiti anatoka kambi ipi.
Waacheni wajipange; haya ni mambo yanayoendelea CCM na CCM inajipanga kuelekea 2015. Swali kubwa nii je mabadiliko yote ya uongozi yanayofanywa ndani ya CCM sasa hivi yatakisaidia vipi chama kuendelea kutawala 2015?
huyo ndiyo mboni mhita mzalendo kweli kweli mpigania haki za vijana kama malemo tutegemee makubwa kutoka kwake rip chadomos ccm oyeeeeeeeeeeee
Anapigania haki za vijana kama malema kwa sababu kapiga picha na malema?huyo ndiyo mboni mhita mzalendo kweli kweli mpigania haki za vijana kama malemo tutegemee makubwa kutoka kwake rip chadomos ccm oyeeeeeeeeeeee
Nikihoji dini zao ntakuwa mdini?CCM HOYEEE''
MWENYEKITI UVCCM TAIFA NI Mhe.JUMA SADIFA-2012-2017
MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA NI Mhe.MBONI MHITA
HONGERENI SANA!!!UVCCM HOYEEEE
WAJUMBE NEC
Kama una-judge kwa kuangalia jina kuna Fatma Jumbe.Mbona Wajumbe wa NEC uvccm hakuna waislam?huyo mwenyekiti katoka zanzibar.waislam bara mpo wapi na ccm yenu?
Pls pardon my ignorance, hawa vijana ni wabunge sasas hivi, au viongozi wa UVCCM wana hadhi ya kuwa waheshimiwa kama inavyotumika hapa (mh...).CCM HOYEEE''
MWENYEKITI UVCCM TAIFA NI Mhe.JUMA SADIFA-2012-2017
MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA NI Mhe.MBONI MHITA
HONGERENI SANA!!!UVCCM HOYEEEE
WAJUMBE NEC
Jery Slaa
Deo Ndegembi
Anthony Mavunde
Jonas Nkya
CCM HOYEEE''
MWENYEKITI UVCCM TAIFA NI Mhe.JUMA SADIFA-2012-2017
MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA NI Mhe.MBONI MHITA
HONGERENI SANA!!!UVCCM HOYEEEE
WAJUMBE NEC
Jery Slaa
Deo Ndegembi
Anthony Mavunde
Jonas Nkya
Mkuu, akili yako kama jina ulilochagua; nani kakwambia Jerry, Deo, Jonas, Petro ni christians?Mbona Wajumbe wa NEC uvccm hakuna waislam?huyo mwenyekiti katoka zanzibar.waislam bara mpo wapi na ccm yenu?
Mbona Wajumbe wa NEC uvccm hakuna waislam?huyo mwenyekiti katoka zanzibar.waislam bara mpo wapi na ccm yenu?
Pumba zile zile, unawakaribisha kwani uko UVCCM?Mhhh, Mboni????
Mtoto wa Zabein??
Na Sadifa mshua wake nae si mbunge au???
hongereni, na karibuni kitaa
ILA NAHISI UVCCM HAMKO SIRIAZ KABISA KUMPA MBONI