Uongozi wa DAWASCO Upanga unawanyanyasa vibarua wake. Vibarua wanafanya kazi ngumu tena hadi jioni na Jumamosi pia, lakini serikali inatoa pesa kwa ajili ya mishahara yao lakini uongozi unakula pesa hizo na kuwafanya waishi maisha magumu.
Cha kushangaza ni kwamba DAWASCO wanakusanya pesa wenyewe, iweje vibarua wakae miezi mitatu hawajalipwa. Serikali chunguza DAWASCO Upanga maana wanaleta uchonganishi baina ya vibarua na wananchi.
Cha kushangaza ni kwamba DAWASCO wanakusanya pesa wenyewe, iweje vibarua wakae miezi mitatu hawajalipwa. Serikali chunguza DAWASCO Upanga maana wanaleta uchonganishi baina ya vibarua na wananchi.