peter palla
JF-Expert Member
- Sep 4, 2015
- 212
- 229
Uwezo wako ni wa kulike tuu na co kucomments,suala la secondary nimetolea mfano ili kutoa ufafanuzi wa sherehe za kidin katka vyuo,,kama sherehe za kivyama znafanywa na wanavyuo sembuse za kidini,,,uelewa wako mfupi ndo maana huwez elewa nimelenga nn katka comment yangu,,,Kwa hiyo wote wanapinga hili hawajasoma secondary?
Halafu naomba uandike kama msomi huu uandishi wako Facebook hapa siyo mahala pake JF unasomwa na watu wengi unawachanganya.
Au hiyo secondary yako uliyosoma ndiyo mlifundishwa huo uandishi wa SMS.