Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Uongozi wa chuo kikuu kishikiri cha Muhimbili umewazuia wahitimu wa kikristo chuoni hapo kufanya mahafali yao ambayo mgeni rasmi alikuwa Edward Lowassa leo hii. Amri imetolewa muda mfupi kabla ya kuanza sherehe.