Na hapo ndio nilitaka tufikeNdio maana nikasema elimu si kigezo muhimu sana kwenye uongozi chadema.
Pia unaposema Mbowe alikipaisha chama lazima utambue na mchango wa timu ya wasaidizi mahiri waliokuwa wamemzunguka kipindi hicho chama kikipaa.
Mkuu nakushukuru sana kwa elimu unayoitoa hapa JF , Hawa mbumbumbu kuwaelewesha kama ufanyavyo si rahisi .Na hapo ndio nilitaka tufike
Kumbe unafaham Mwenyekiti huwa anazungukwa na jopo la wataalam wanaomsaidia kwenye decision making?
Kma ni hivyo basi sioni hasara kma ukiwa na Mwenyekiti asiye msomi lakini ana embrace ushauri wa kitaalamu. Meaning hta Kiwanga anaweza akipata right team to work with otherwise kma elimu ya mkuu wa chama ina correlate na mafanikio ya chama basi ACT,NCCR,CUF zingeipiku CHADEMA kitambo
swali zuri sana ! kabla ya kukujibu naomba unambie kama unamfahamu Mbunge wa sasa wa Mlimba ?Alidhulumiwa na nani?
Hakika. Chama kilipaa hadi kipindi mwenyekiti alipopuuza ushauri wa wasaidizi kwenye kumpata mgombea Urais 2015. We have since witnessed a freefall.Kma ni hivyo basi sioni hasara kma ukiwa na Mwenyekiti asiye msomi lakini ana embrace ushauri wa kitaalamu.
Utakuwa na ubia na moderators. Kila uchao unatukana watu humu lakini unatazamwa tu!Hawa mbumbumbu kuwaelewesha kama ufanyavyo si rahisi .
Mtu kukuita mbumbumbu kwanza si tusi bali ni kukuepusha na lawama , maana watu wanaweza kudhani una akili ili wakuchalenji kumbe huna .Utakuwa na ubia na moderators. Kila uchao unatukana watu humu lakini unatazamwa tu!
Anyway, nakutakia mafanikio kwenye nafasi unayogombea bawacha. Pengine inaweza kukusaidia kubadilika kutokana na interactions.
Duh, utakuwa na matatizo makubwa sana. Are you married?!maanacwstu wanaweza kudhani una akili kumbe huna
Maswali ya jf yawe ya maana basi , usilete mepesi kama hili utachekwaDuh, utakuwa na matatizo makubwa sana. Are you married?!
Umeolewa?Maswali ya jf yawe ya maana basi , usilete mepesi kama hili utachekwa
Mkuu jf ni zaidi ya ujuavyo , jiangalie sanaUmeolewa?
Mbona swali rahisi sana! Umeolewa?Mkuu jf ni zaidi ya ujuavyo , jiangalie sana
Freefall? Hvi kuna chama gani cha upinzani kimepaa 2015-20? Kma kingekua free fall kweli uchaguzi wa oktoba haukuwa na flaws? Mbona muitikio kwenye kampeni ulikua mkubwa kuliko mategemeo?Hakika. Chama kilipaa hadi kipindi mwenyekiti alipopuuza ushauri wa wasaidizi kwenye kumpata mgombea urais 2015. We have since witnessed a freefall.
Unaongea na sisi au na simu??Wajuzi wa mambo ya katiba wanasemaje kuhusu uchaguzi mkuu? Au mama yetu vipi ataendelea kushika nafasi mpaka 2025 au baada ya SIku 90 utaitishwa uchaguzi mpya?
kuishi kwa kudandia kwapa za watu kunakudhalilisha sana !Tokea kamatakamata imeanza ya wanaosambaza habari za uongo mitandaoni salary slip ameadimika. Au ndio yule fundi simu majuram?
Kigezo namba moja ni kuwa mtiifu wa kulamba makalio ya wenye chama chaoNilitaka kuandika kuwa Kiwanga elimu yake ni ndogo sana kuongoza BAWACHA taifa nikakumbuka kuwa elimu si kigezo muhimu sana kwenye uongozi CHADEMA.
Unaamini bila Lowasa 2015 chadema isingepata idadi ya wabunge na madiwani iliopata? Mimi naamini ubora wa chama wa wakati ule ndio uliomvuta na kumshawishi kununua nafasi ya kugombea urais.Nadhani maamuzi ya 2015 yalikua sahihi maana ilisaidia chama kupata wawakilishi wengi sana